Marekani vita ilikuwa haipaganwi nchini mwao, hata Russia vita haipaganwi nchini mwao na pia uchaguzi wa Russia ni maigizo tu ya kumtambulisha Putin kwa mutual unaofuata.Marekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa Vitani
Anaye Pigana naye Mbona kafanya Uchaguz
Putin na kivuli.Russia kuna uchaguzi gani hata bila vita??
elaborate thisBaadaye akaja kuwa chawa, asiyefikiri wala kujitambua!
Marekan imeingia vitan rasmi mwaka 1942 na Marekani alipigana vita ugenini , ndan ya USA maisha yalikuwa yanaendelea kama kawaida , vita vya Urus na Ukrain vimepiganwa hasa ndan ya Ukraine na sio Urusi kwa zaid ya 95% ya Urusi maisha yalikua yanaendelea kama kawaida .Marekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa Vitani
Anaye Pigana naye Mbona kafanya Uchaguz
unaelewa maana ya katiba na mwananchi yupi waukraine anetaka uchaguzi au huyo jambazi wenu Putin mnaemshabikia ndio anaetaka uchaguziWananchi wanataka uchaguzi na wananchi ndio wenye nchi.
Volodymyr Oleksandrovych Zelenskyy atabaki kuwa shujaa. Nukuu yake muhimu ya uzalendo hii hapa.
View attachment 3249059
katiba ndio inasema sio ubishi wako ndio usemeMarekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa Vitani
Anaye Pigana naye Mbona kafanya Uchaguz
hivi Putin nae anafanyaga uchaguzi au maigizo anaua wapinzani na wengine kuwasweka jelaMarekani Walifanya Uchaguzi Mara ngapi wakiwa Vitani
Anaye Pigana naye Mbona kafanya Uchaguz
Ataitisha muda muafaka ukifikaNitamuona yy ni shujaa wa kweli akiitisha uchaguzi then wananchi wake watathibitisha hilo.
Lakini master wake kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe uchaguzi ulifanyika.Nchi ikiwa kwenye vita haiwezi kufanya uchaguzi. Hata Uingereza wakati wa vita vikuu vya pili vya dunia haikufanya uchaguzi.
Ataitisha muda muafaka ukifika
Kwa kifupi hawamtaki jamaa sio wananchi mpaka bungeni washampa jina dikteta, hii ni wiki moja iliyopita.unaelewa maana ya katiba na mwananchi yupi waukraine anetaka uchaguzi au huyo jambazi wenu Putin mnaemshabikia ndio anaetaka uchaguzi
Urusi imeshindwa kuishinda Ukraine kwenye Uwanja wa vita kwasababu ya mtu mmoja tu. Naye ni Volodimyr Zelenky.Baadaye akaja kuwa chawa, asiyefikiri wala kujitambua!
WosiaVolodymyr Oleksandrovych Zelenskyy atabaki kuwa shujaa. Nukuu yake muhimu ya uzalendo hii hapa.
View attachment 3249059