Usia wa Roma Mkatoliki kwa wanaojiandaa kuoa

Usia wa Roma Mkatoliki kwa wanaojiandaa kuoa

Salute comrades!

Hitmaker wa NIPENI MAUA YANGU, Roma Zimbabwe kupitia ukurasa wake wa Instagram amewausia vijana wa kiume wanaojiandaa kuoa kwamba wasikurupuke tu kufanya maamuzi ya kuoa bali wawafanyie wachumba wao " vetting" ya kutosha.

Roma amesema kabla hujamuoa huyo mchumba wako na kumfanya mkeo na mama ya watoto wako,Kwanza jiulize maswali muhimu yafuatayo;

👉Je, huyu mchumba wako ataweza kuwa mama Bora kwa watoto wako?
Ataweza kutekeleza majukumu yake ipasavyo kama mama kwa watoto wenu?

👉Kwa mfano ikitokea siku ukapatwa na msala mzito utakaopelekea wewe kufungwa jela kwa miaka kadhaa,Je,huyo mkeo ataendelea kuwa mwaminifu kwako kwa kukutunzia tunda lako pamoja kulea watoto au ndo ataanza kuhanya hanya?
Au atakuwa anachepuka kisiri Siri ili angalau apate Cha kuwalisha watoto wenu akisubiria umalize kifungo?

👉Ukikumbwa na anguko la kiuchumi ukafilisika kabisa,je, huyo mkeo ataendelea kukupenda na kukutia moyo upambane mpaka pale utakapoinuka tena kiuchumi au ndo atakuacha upambane na umasikini wako?

Ukishajiuliza hayo maswali matatu hapo juu then unaweza kufanya tathmini yako ili ubaine Kama huyo unayetaka kumfanya mkeo anaweza shinda hayo majaribu endapo yatatokea.

Kijana usiangalie tu shape na sura ya mwanamke Kisha ukakurupuka kuoa, maana unaweza ukajutia uamuzi wako baadae.
Huu ni uoga tuuh
KATAA NDOA KIJANA
kama unajipenda lakini.
 
Mwanamke hanaga urafiki wa kudumu ama mapenzi ya kudumu na mwanaume, mwanamke anakuwa na mwanaume kwa sababu na sababu hizo lazima ziendelee kuwepo, ziwe Bora na zingine ziongezeke, mwanamke anavutiwa na vitu toka kwa mwanaume kama huna vitu hasa vile ambavyo hana na hawezi kuvipata.
 
Yaani me nifungwe huko mke wangu asiendele kula maisha.. Hi no aisee hata mimi sioni mantiki yake anyway kama atakuwa ana akili anunue toys ila swala la raha kumnyima mtu ni kumkosesha Haki yake ya msingi sana
 
Ukijiuliza hayo maswali hutaoa.

Kwanza kwa Wanawake wa sasa na maisha ya sasa unajiuliza hayo yote yanini?

Anataka kuoa malaika?
Unachoongea ukijui , niliwahi kushuhudia jamaa anataka kumuua mke wake Kisha naye ajimalize wako mbungani huko mke anamuomba mmewe ampe nafasi ya mwisho akumbuke hata watoto so my friend be careful with your tongue.
 
Salute comrades!

Hitmaker wa NIPENI MAUA YANGU, Roma Zimbabwe kupitia ukurasa wake wa Instagram amewausia vijana wa kiume wanaojiandaa kuoa kwamba wasikurupuke tu kufanya maamuzi ya kuoa bali wawafanyie wachumba wao " vetting" ya kutosha.

Roma amesema kabla hujamuoa huyo mchumba wako na kumfanya mkeo na mama ya watoto wako,Kwanza jiulize maswali muhimu yafuatayo;

👉Je, huyu mchumba wako ataweza kuwa mama Bora kwa watoto wako?
Ataweza kutekeleza majukumu yake ipasavyo kama mama kwa watoto wenu?

👉Kwa mfano ikitokea siku ukapatwa na msala mzito utakaopelekea wewe kufungwa jela kwa miaka kadhaa,Je,huyo mkeo ataendelea kuwa mwaminifu kwako kwa kukutunzia tunda lako pamoja kulea watoto au ndo ataanza kuhanya hanya?
Au atakuwa anachepuka kisiri Siri ili angalau apate Cha kuwalisha watoto wenu akisubiria umalize kifungo?

👉Ukikumbwa na anguko la kiuchumi ukafilisika kabisa,je, huyo mkeo ataendelea kukupenda na kukutia moyo upambane mpaka pale utakapoinuka tena kiuchumi au ndo atakuacha upambane na umasikini wako?

Ukishajiuliza hayo maswali matatu hapo juu then unaweza kufanya tathmini yako ili ubaine Kama huyo unayetaka kumfanya mkeo anaweza shinda hayo majaribu endapo yatatokea.

Kijana usiangalie tu shape na sura ya mwanamke Kisha ukakurupuka kuoa, maana unaweza ukajutia uamuzi wako baadae.
Tusidanganyane hapa, mwanake tako sura na hips. Akili atatumia zangu. Nikifirisika yeye ruksa kwenda kwa wenye hela. Nikienda jela yeye ruksa kugegedwa na wanaume wengine.
 
Yaani me nifungwe huko mke wangu asiendele kula maisha.. Hi no aisee hata mimi sioni mantiki yake anyway kama atakuwa ana akili anunue toys ila swala la raha kumnyima mtu ni kumkosesha Haki yake ya msingi sana
Bwana wee, wacha mtoto wa watu agegedwe maana kugegedana ni basic human need
 
Unachoongea ukijui , niliwahi kushuhudia jamaa anataka kumuua mke wake Kisha naye ajimalize wako mbungani huko mke anamuomba mmewe ampe nafasi ya mwisho akumbuke hata watoto so my friend be careful with your tongue.
Mimi ni Mwanaume, hapo umezungumzia scenario moja...njoo nikupe Scenario 10 nzito kuliko hiyo yako...unazungumzia habari ya aliyenusurika kufa....sisi tuna cases za vifo

Hatahivyo, bado nasema kwa Maisha ya sasa na Wanawake hawa wa Digital Generation...kutegemea hayo yako na Roma ni Upuuzi.

Basi anzieni kwa kuoa Wanawake Bikira 🤣
 
Back
Top Bottom