Usiamini kila unachoambiwa na mwanamke,suala hili limenifedhehesha sana

Usiamini kila unachoambiwa na mwanamke,suala hili limenifedhehesha sana

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Nimeacha kuwaamini wanawake kabisa maana juzi nilikuwa chumbani na mpenzi wangu nikavua nguo zote na yeye akavua na baada ya hapo nikavaa kondomu.Ila sikuamini alichoniambia na ndio hapo ukawa mwisho wangu kumuamini mwanamke kabisa maisha yangu.

Wakuu naandika hapa kwa masikitiko makubwa sana baada ya mimi kubaki na kondomu tu nimeivaa halafu akaniambia "Baby umependeza"

Wakuu sikuwahi kudhani katika maisha yangu kuwa kondomu inaweza kumpendeza mtu na kusifiwa kabisa kuwa nimetoka chicha.

Nasisitiza kuwa sijaipokea sifa yake na sihitaji kuisikia na sitomwamini tena.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]haki nimechekaaa
 
Hahahaha... ungeichomekea kabisa kwenye map...m..u mkuu utoke chicha vilivyo..
 
Ungekuwa unamwamini toka mwanzo usingevaa hata condom
 
Nimeacha kuwaamini wanawake kabisa maana juzi nilikuwa chumbani na mpenzi wangu nikavua nguo zote na yeye akavua na baada ya hapo nikavaa kondomu.Ila sikuamini alichoniambia na ndio hapo ukawa mwisho wangu kumuamini mwanamke kabisa maisha yangu.

Wakuu naandika hapa kwa masikitiko makubwa sana baada ya mimi kubaki na kondomu tu nimeivaa halafu akaniambia "Baby umependeza"

Wakuu sikuwahi kudhani katika maisha yangu kuwa kondomu inaweza kumpendeza mtu na kusifiwa kabisa kuwa nimetoka chicha.

Nasisitiza kuwa sijaipokea sifa yake na sihitaji kuisikia na sitomwamini tena.
Hahahaaaaaaaa!!!!
 
Nimeacha kuwaamini wanawake kabisa maana juzi nilikuwa chumbani na mpenzi wangu nikavua nguo zote na yeye akavua na baada ya hapo nikavaa kondomu.Ila sikuamini alichoniambia na ndio hapo ukawa mwisho wangu kumuamini mwanamke kabisa maisha yangu.

Wakuu naandika hapa kwa masikitiko makubwa sana baada ya mimi kubaki na kondomu tu nimeivaa halafu akaniambia "Baby umependeza"

Wakuu sikuwahi kudhani katika maisha yangu kuwa kondomu inaweza kumpendeza mtu na kusifiwa kabisa kuwa nimetoka chicha.

Nasisitiza kuwa sijaipokea sifa yake na sihitaji kuisikia na sitomwamini tena.
Hivi nani aliyekupa ruhusa ya kuweka avatar yenye nembo ya UDOM....??
 
Hahahahahaha! Ungevaa na kichwani kabisa mkuu, au ulikuwa nayo moja tu?

Halafu ukute ulivyoambiwa ulitabasamu kweli kwakuwa ulikuwa unaongozwa na halmashauri ya kichwa kidogo, baada ya kukaa ukatulia akili ikarudi makao makuu ndio umekuja huku...
 
Nimeacha kuwaamini wanawake kabisa maana juzi nilikuwa chumbani na mpenzi wangu nikavua nguo zote na yeye akavua na baada ya hapo nikavaa kondomu.Ila sikuamini alichoniambia na ndio hapo ukawa mwisho wangu kumuamini mwanamke kabisa maisha yangu.

Wakuu naandika hapa kwa masikitiko makubwa sana baada ya mimi kubaki na kondomu tu nimeivaa halafu akaniambia "Baby umependeza"

Wakuu sikuwahi kudhani katika maisha yangu kuwa kondomu inaweza kumpendeza mtu na kusifiwa kabisa kuwa nimetoka chicha.

Nasisitiza kuwa sijaipokea sifa yake na sihitaji kuisikia na sitomwamini tena.
Yaani wewe jamaa nimecheka sana! Kunywa soda au chochote nakuja kulipa.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom