Usiamini kila unachokiona mtandaoni, Zamaradi hajanunuliwa gari na Mume wake

Hata wewe hujui chanzo cha fedha ya Zamaradi aliyotumia kununua hiyo Range. Kuna mzito yuko Serikalini anasimamia tozo ndiye kamhonga. Jina la huyo mtu linaanza na M.. na la pili N..
 
Hata wewe hujui chanzo cha fedha ya Zamaradi aliyotumia kununua hiyo Range. Kuna mzito yuko Serikalini anasimamia tozo ndiye kamhonga. Jina la huyo mtu linaanza na M.. na la pili N..
Acha kumchafua mwigulu wewe
 
Umaskini na Chuki vinaenda sambamba,
Nilidhani utasema Range sio yake kumbe ni yake ila kauza Mali yake moja na kununua Mali nyingine tatizo liko wapi???

Ndio hivyo tena Zamaradi Mketema a.k.a Mrs Shabaan anaendesha Range Rover Vogue [emoji23] endelea kuning'inia kwenye daladala tu mwenzio anakula kiyoyozi.
 

Punguza kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu
 
Hata wewe hujui chanzo cha fedha ya Zamaradi aliyotumia kununua hiyo Range. Kuna mzito yuko Serikalini anasimamia tozo ndiye kamhonga. Jina la huyo mtu linaanza na M.. na la pili N..
Yani Madilu amhonge Zamaradi? Kwa lipi alilonalo. Mbona hata common sense inakataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…