Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Yaani watu wanaweza kuwa wanakufahamu kuzidi wewe mwenyewe unavyojifahamuKwa maana hio huyo jamaa hata shule ni tatizo sio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani watu wanaweza kuwa wanakufahamu kuzidi wewe mwenyewe unavyojifahamuKwa maana hio huyo jamaa hata shule ni tatizo sio.
Duuh kwahiyo wameuza Mjengo wao wa Bunju Near Mexon Gas Station? Kwani SMS Garage imekufa? Mh Katelephone hampi Backup?
Katelephone amempiga chini baada ya kuona kijana ana kelele nyingi. Hajui kula na vipofu wadanganyika
Nmeshangaa hii kituDaah kauza nyumba akanunua gari akili ya wapi hio. Nyumba mali nzuri sana,angeendelea kula kodi tu.
Wadada wa Dar maisha ya mashindano yanawapelekesha sana
Inafikirisha haya maisha ya mtandaoniHATA KAJALA YALE MA RANGE USED OLD MODEL KUNA MTU KARIBUNI AMEMUONA ANAENDESHA?? HAPA MJINI?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa hilo namkubali. Hila huyu mme kamfichia maumivu mengi aliyopewa na Ruge. Ruge katumia weeeee alaf katema kachukua Nandy. Hiki kitu kimemkaa moyoni sana ndio maana anatumia drama nyingi sana kumweka mume wake ambaye hajulikani mjini kuwa juu.Zama kwa drama n master class. Yeye hua anaziandaa kwa akili kubwa sna tofauti na bwanyenye wengine
Nakubali kabsaKwa hilo namkubali. Hila huyu mme kamfichia maumivu mengi aliyopewa na Ruge. Ruge katumia weeeee alaf katema kachukua Nandy. Hiki kitu kimemkaa moyoni sana ndio maana anatumia drama nyingi sana kumweka mume wake ambaye hajulikani mjini kuwa juu.
Yaani mtu wa kumuona mtandaoni bwana...yule Demu anamuheshimisha sana jamaa.kile ki garage hakileti mpunga wa hivi 🤣Shebby choka mbayaa mkuu amini nakwambia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tuitwe masikini 2022 kununua gari ambayo waarabu wanafanyia drifting mchangani nayo imekuwa big issue
[emoji23][emoji23][emoji23] kama ni ME basi ME tumekua wapiga umbeya wazur kushinda wadada.Hii habari imeripotiwa na kee au meee
Mjinga ndo angeamini yule mishen town kununua the so called range. Kizuri watu walijuwa hilo na kumchana pale pale kwenye pg yakeRange ya Zamaradi Ilivyopatikana.
Issue iko hivi Zamaradi alinunuaga nyumba kipindi yupo na Ruge, Ruge alimsaidia kununua hiyo nyumba. Then akanunua kiwanja mwenyewe kipindi yupo na Ruge, baada ya kuwa na Shabani wakaanza kujenga nyumba kwenye hiko kiwanja, ndiyo hiyo nyumba wanayoishi.
Sasa ni hivi Zamaradi ameuza nyumba aliosaidiwaga na Ruge kununua back in the day ndiyo kanunua hiyo range. Jamani Zamaradi kauza nyumba ndiyo akanunua hiyo gari. Hakuna cha mume kununua wala nini. Jamani maisha ya mitandaoni sio kabisaaa, usipokuwa makini unaweza kuhisi mumeo ni nyau kabisa.
Ila Zama watu wanamuonaga role model ila hamna kitu, sisemi kakosea kuuza nyumba kununua range, nyumba ni yake she has a right to do what she wants, tatizo ni kuleta kwa social media ku-show-off na kujifanya mume wake ndo kamnunulia.lkija suala la utoto wa show-off za kijinga Zama hana tofauti na wajinga wengine kwenye socia medias.
View attachment 2415164
Nasikia ni bilionea huyo!Mnataka kumpangia pesa yake
Ehe,haya mlitaka aitumiaje????
Ova
Ndio, kwa sababu anafanya wenzake watuone mafalaKinachoniacha hoi ni kuwa wanaume ndo wanaongoza kumsema na kumdiss zama, uwiiiiioh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nahisi tatizo kadanganyaHuwa naamini kuna kitu hakipo sawa kwenye ubongo wa waafrika wengi ikiwemo na Tanzania. Yaani hata kama mtu amejinunulia it's okay! Ni furaha yake kufake maisha, ameamua hivyo but wewe inakuuma nini? Why tunakuwa so serious kiasi hiki katika kufuatilia maisha ya mtu na kusimama kidete kabisa ili uoneshe dunia kuwa huyu mtu ana udhaifu huu? Inatusaidia nini? Frankly speaking watu ambao tunawazidi kiuchumi ndiyo huwa wako busy kufuatilia maisha ya waliofanikiwa. Pia wanaugua Sana pale mtu anapofanikia. Africans [emoji119]
Mmmmh acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu.Ndio, kwa sababu anafanya wenzake watuone mafala