Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

So mnyama akichinjwa home anakufa kwa muda wake? Anayechinjwa kwenye kafara analazimishwa kufa kabla ya muda wake kutimia? Hatari sana hii logic yake. In short ushirikina ni dhambi.
 
Mshana Jr naomba nikuulize,
Mtu aliyechukuliwa msukule si inamaana hajafa kiroho na kimwili? Anaweza kurudishwa akawa kawaida?
Je ukifika wakati Wa Mungu kumchukua inakuaje?..

Jibu la hili swali ni la muhimu sana kaka, sijauliza kujifurahisha... Kuna mpuuzi Juzi kanywesha maji na akasomewa sijui nini huko na mgangaa kaanza kuropoka watu aliowachukua misukule.
 
So mnyama akichinjwa home anakufa kwa muda wake? Anayechinjwa kwenye kafara analazimishwa kufa kabla ya muda wake kutimia? Hatari sana hii logic yake. In short ushirikina ni dhambi.
Mnyama kuliwa ni haki yake Sio kwa ajili ya makafara
 
Zipo njia nyingi za kurejesha msukule zipo za maombi ya urejesho yaan njia za upande wa Nuru na za Giza pia,na za asili pia kupitia mimea mfano mgomba.
Dunia ina pande mbili ulimwengu usioonekana na unaoonekana.
Msukule ni mwanadamu aliyefichwa na wachawi asionekane na macho ya wanadamu huku akiendelea kuishi Duniani wachawi,bubu, watoto wasioanza kuongea,mbwa,paka,nk wanao uwezo wa kuona misukule.
Msukule akifa baada ya kumaliza ule mda aliopangiwa na Mungu ufa na kwenda kuzimu mwili wake uliwa na wachawi,kwann kuzimu sababu alichukuliwa dhambini,mtu mwenye ulinzi wa Mungu hawezi chukuliwa kiendacho kuzimu ni roho na nafasi yake,kule kuzimu uchukua mwili mpya kwa ajili ya mateso tokana na dhambi alizotenda Duniani.
Kuzimu ni kubwa kuliko dunia na Ina magereza kulingana na aina ya dhambi.
 
Kwahio ni mwili ndio huenda kuzimu ila roho sio lazima iende kuzimu?
 
Msukule ni mateka wa kiininacho anakuwa hajafa, ndio maana kinachozikwa ni gogo ama mgomba na huko matekani hupewa dada za kupumbaza akili ili asijitambue ikiwa ni pamoja na kukatwa ulimi asiweze kuongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…