Usibishe hizi ndio sifa za ajabu tulizofichwa, kuhusu wanyama na wadudu

Usibishe hizi ndio sifa za ajabu tulizofichwa, kuhusu wanyama na wadudu

Mleta mada bhange uliovutishwa imechanganywa na mavi koboko ni black mamba hizo sifa umezitoa kule fb Tuache kidogo manyoko zako
 
Kuna nyoka wa ajabu anakua mkubwa inch 5 na zaidi baada ya kuona shimo aisee
 
Season 2.
Mwamba HUYU HAPA SASA leo ubishe usibishe lakini huu ndo ukweli wa huyu nyoka

anaitwa SUZUMURA REIN amezaliwa katika milima ya amazon huko lemonia nchini nigeria mwaka 1920 akiwa yatima ana asili ya kijapani na hizi ndo sifa zake

(1)nyoka huyu hupenda kuogea maji ya moto sababu ya ngozi yake laini sana huogopa baridi

(2) Amewahi kuongoza harakati za kutetea urafiki kati ya nyoka na binadamu lakini kwa bahati mbaya mijusi waliiba nyaraka za mikataba hiyo na kubadili majina na hatimae mijusi iliweza kujiandika majina. Ndiyo Leo mijusi wapo karibu na binadamu

(3)pia ana uwezo wakumeza gunia mbili za mahindi bila taabu yoyote

(4)Ana kasi ya speed 2736 kwa sekunde yaani ukifyatua bastola apa ana uwezo wa kufika kabla ya risasi

(5)Nyoka huyu hupenda kukaa karibu na kambi za jeshi kujifunza jinsi ya kupambana na wenzake porini

(6) nyoka huyu ni mpole na mkarimu sana kiasi cha kwamba ukimwangalia usoni hutabasamu na kukimbia

(7)pia nyoka huyu hupenda sana kuangalia TV na ili alale vizuri hukaa karibu na vilabu vya pombe ili kumalizia yale mabaki ya pombe walevi waliocha akishalewa huenda zake kulala

(8) Anapenda kula maboga lakini pia hapendi binadamu kwakuwa walimuua mama yake

(9)Watoto wake wakikua hugeuka na kuwa mamba na kuingia kwenye maji

(10)hana miguu wala mikono safari zake nyingi huwa anaazima mabawa ya kipepeo na kisha hupaa na baadae hurudisha

(11)Anatafutwa sana na endapo ukimuona kwa macho unaweza kupofuka kabisaaa na hata kufa

(12)Hana jinsia yoyote japo inasemekana watoto wake huiba kwa nyoka wengine

(13)urefu wake ni sawasawa na umbali wa mipango mpaka mnada mpya japo hatembei mda mwingi hulala

(14) Nyoka huyu anasifika kwa urembo duniani kwasababu huwa mara kwa mara huenda kupima afya yake mwenyewe hospitali

(15)Hapendi ugali na sukari kabisaa na ana hasira sana pale anaposingiziwa vitu vya uongo

(16)anapenda sana grand malta
FB_IMG_16823608714963693.jpg


02.👉
"MWAMBA HUYU HAPA"
Anaitwa San Francisco garter.

Ni nyoka mwenye maajabu makubwa na kushikilia rekodi ya dunia.

Kama muoga acha kusoma maajabu ya nyoka huyu.

Leo nakuletea maajabu 10 ya nyoka huyu.

1. Anapatikana sehem za mabonde, nyasi ndefu na mito yenye maji.

2. Ana rangi 48 kwenye ngozi yake.

3. Ana gamba la ngozi ngumu lenye unene wa nchi 6 hadi 8.

4. Ana urefu wa mita 30, na unene wa sentimita 1200.

5. Ana sumu kali inayoweza kuua kwa sekunde 3 na kisha mzoga huoza na kutoa wadudu ndani ya dakika 5.

6. Ni nyoka ambaye huishi zaidi ya miaka 100 hadi 135.

7. Anaweza kuona na kusikia sauti kitu kilicho mbali zaidi ya km 25.

8. Sehem aliye pita nyoka huyu mvua hainyeshi kwa zaidi ya miaka 7.

9. Harufu yake ni hatari kwa mama mjamzito kwani huweza kusababisha mimba kuharika.

10. Sehem atakayo onekana, husababisha ulemavu na vifo vingi kwa watoto chini ya miaka 5 hadi 8 kutokana na harufu yake kuenea zaidi ya kilomita 150.
FB_IMG_16823609950771181.jpg
 
Back
Top Bottom