Usibishe hizi ndio sifa za ajabu tulizofichwa, kuhusu wanyama na wadudu

Sm 1200 ni meta 12, sasa huu upana mbona ni kiwanja Cha kujenga nyumba kwa Arusha? Kuna mwingine umesema sm 12000 yaani upana wa meta 120 duh 😜😜😜
 
Hizi kamba zako ni za kiwango cha standard gauge au maglev.
Kuna yule nyoka anaitwa comacholi, yule aliyemezaga ndege ya airbus 737 ikiwa na abiria 201 huko sweden kisha akaruka na.kutua bara la antaktika na kuitema pale. Uzito wake ni sawa na tani milio 4. Toka dunia iumbwe wamewahi kuonekana watatu tu.
 
Behavioral disorder and mental health hospital must be increased in this complex country [emoji1241][emoji1241][emoji91][emoji91]
 
Nakuelewa sana Mkuu, wajukuu zako watafaidi sana maana una hadithi za kutosha za kuwasimulia
 
Uko wodi namba ngapi hapo Mirembe?
Wodi namba 4, wanaume,ameanza kuvaa nguo mwenyewe,hapigi wenzake, Sasa nilijua kapona nikampatia techno yake, kumbe ndiyo kapost nyanya mbovu hizi? Too rotten tomatoes,ntambadilishia dose [emoji1787][emoji1787][emoji1787]as a psychiatrist ntafanya Jambo.[emoji2322][emoji2322]
 
Mkuu haya maarifa umeyatoa wapπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£
"11. Akishaua na akisikia sauti za vilio vya watu, anakuja karibu ya tukio kusikiliza kinacho endelea, akisikia mazungumzo kuwa atafutwe na auliwe yeye hugeuka upinde wa mvua kisha hupaa juu angani"
 
Tumefichwa Siri nzito aisee πŸ˜€πŸ˜
 
Ndo Mana Mr Nafaka una ambiwa usibishe coz tumefichwa Siri nzito aisee πŸ˜€πŸ˜. Na. Sasa tumezigundua so watajuta
 
Sm 1200 ni meta 12, sasa huu upana mbona ni kiwanja Cha kujenga nyumba kwa Arusha? Kuna mwingine umesema sm 12000 yaani upana wa meta 120 duh 😜😜😜
Usisahau hizi ni Siri nzito aisee, na hapa nimefanya kuwaambia so Niko hatariniπŸ˜€πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…