Sas mdau kat ya coz zenye priority na non priority we unafikir nizip zenye soko hapa tz?
Labda alaf account,law,sociallogy,political science ndo zinasoko ukimaliza 2 ajira unapata 2juze kaka.
priority + Mkopo + guarantee ya kazi
niende wapi tena?? wakati nakesha school watu walikuaga wananicheka class nasinzia kisa wao walikua arts (mtelezo) leo yakowapi nakula 100% bila gobo, ila nawaombea kwa mungu kila mmoja apate at least 50%,
science pays bisha usibishe
Wana jf, kuweni makin na uchaguzi wa course isiwe kigezo eti ni priority nyie ndio mnaokuja kuandamana mishahara midogo na maisha ni magumu kuna baadhi ya course utakaa mtahani mpaka utarudi chuo kuanza course mpya so nashauri ni bora upate boom asilimia ndogo lakina unatoka na kitu chenye soko
daah !! Kweli bhana yaani science ilivyotyt vile afu watuzingue kwenye suala la mkopo itakuwa sio pouwa kabisa daah
priority + Mkopo +(( guarantee ya kazi ))niende wapi tena?? wakati nakesha school)) watu walikuaga ((()wananicheka class )))nasinzia kisa wao walikua arts (mtelezo) KWENYE HIZO ALAMA UNAUHAKIKA?
priority + Mkopo +(( guarantee ya kazi ))niende wapi tena?? wakati nakesha school)) watu walikuaga ((()wananicheka class )))nasinzia kisa wao walikua arts (mtelezo) KWENYE HIZO ALAMA UNAUHAKIKA?
alama zipi QUOTE vizuri mkuu
UNAWEZA UKAWA SCIENCE NA UKAKOSA MKOPO PIA IYO NI BAHATI ZINGINE NI POROJO TU ZA BODI nakwambia kama huamini subiri utajionea
unasoma coz gan?
I agree with You kua science sio kwamba 100% utapata mkopo
daah kaziiiii !! Kwelikweli