Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Jamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣
Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣
Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.
Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani
Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣
Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣
Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.
Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani
Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.