Usichana wa kijinga umemponza Sasa amekuwa kikojozi

Usichana wa kijinga umemponza Sasa amekuwa kikojozi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Jamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah 😭😭😭

Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣

Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣

Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.

Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani

Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
 
download.jpg

Enzi hzo,toto toto kweli
 
Najua hamtaamini ila huyu bibie alimdangia bwana wangu pika pakua na wenyewe tulikuwa na malengo yetu makubwa tuu....
Kuwadi lile limama upendo simwita arusha hukoo
Wakabaki wanaitana mume mume ..... sumu iliingia nilipoona mesej zake....
Nishawahi mchamba kwa simu akanitishia nyau...
Muache apambane na hali yake
Wema najua unapita hapa.
Mr J si unamkumbuka???
Sasa kadange tena maana kafulia hana Mia...
Nke mwenza wa sepenga
 
Ye alikuwa anadanga kwa yule baba
Me nlikuwa namaanisha

Sa akaharibu maana me nkoshaona manyoya tu kosaaaa nkaanchana na mbabu wa watu
Yani hadi leo nipo na picha yako bafuni....... Yani umeniacha na utam wako, sio mbaya babu nimeamua kua mwanachaputa
 
Jamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah 😭😭😭

Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣

Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣

Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.

Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani

Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
Una utoto mingi.Jitahidi ukue.Alikukojolea?
 
Najua hamtaamini ila huyu bibie alimdangia bwana wangu pika pakua na wenyewe tulikuwa na malengo yetu makubwa tuu....
Kuwadi lile limama upendo simwita arusha hukoo
Wakabaki wanaitana mume mume ..... sumu iliingia nilipoona mesej zake....
Nishawahi mchamba kwa simu akanitishia nyau...
Muache apambane na hali yake
Wema najua unapita hapa.
Mr J si unamkumbuka???
Sasa kadange tena maana kafulia hana Mia...

Natamani kuwa na lishangazi kama wewe
 
Jamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah 😭😭😭

Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣

Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣

Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.

Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani

Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
Uwe na adabu wewe, kinachokufanya unaandika majanga ya watu huku unachekacheka ni kipi hapo? Kuna kitu cha kuchekesha hapo?
Kayataka mwenyewe sawa, acha dunia imrudi lakini kwako isiwe burudani.
 
Duuh pole na majanga

Mr J ela ya madini ishakata sio[emoji16][emoji16]
 
Duuh pole na majanga

Mr J ela ya madini ishakata sio[emoji16][emoji16]
Yule haikuwa ya madini bwana..
Yule kilimo cha biashara 😂😂😂
Mbabu wa watu halafu ni juzi tu 2019
 
Back
Top Bottom