Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kukata utumbo ni ugonjwa??Mambo ya ugonjwa si ya kubeza mtu.
Na wewe kukata utumbo ni ugonjwa??
Hiyo ninstarehe ati
Kukojoa kila mara ni matokeo ya kukata utumbo according to mtoa madaNamaanisha kukojoa kila baada ya nusu saa na pia ugumu wa kushika mimba.
Ndio maana umefuta komenti yako ya kwanza humu[emoji3][emoji3]
We Steve nyerere unakaziJamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah 😭😭😭
Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣
Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣
Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.
Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani
Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
Ipi yoo??Ndio maana umefuta komenti yako ya kwanza humu[emoji3][emoji3]
Kukojoa kila mara ni matokeo ya kukata utumbo according to mtoa mada
aiseeNakumbushia,
Mtoa mada anaitwa Hance Mtanashati[emoji4]
Kawaida Sanaa...Kwa Wema Wala sishangai maana humu hatujuaniYe alikuwa anadanga kwa yule baba
Me nlikuwa namaanisha
Sa akaharibu maana me nkoshaona manyoya tu kosaaaa nkaanchana na mbabu wa watu
Aliyemdanganya kutoka humu nahisi hatakaa aione pepo 🤣🤣🤣View attachment 2560921
Enzi hzo,toto toto kweli