Usichana wa kijinga umemponza Sasa amekuwa kikojozi

Usichana wa kijinga umemponza Sasa amekuwa kikojozi

76e49e5a942f4f8faaf26d6cec0d8707_336962714_668442831716579_9060406579873092840_n.jpg
 
Jamani inatia huruma na inasikitisha sana ,kumbe na matashtiti yake yote na kiingereza kingi kumbe bibie huyu ni kikojozi daaaah 😭😭😭

Unaambiwa tatizo huyu bibie lilimuanza baada ya kukata utumbo ili eti awe pisi kali 🤣🤣🤣

Za ndaaaaani kabisa zinasema huyu dada hawezi kabisa kukaa na mkojo kwa zaidi ya nusu saa yani kila mara ye ni kukojoa tu 😂😂😂😂yani ujue muda mwingine namuoneaga huruma mwingine nasema mwana kulitafuta mwana kulipata 🤣🤣🤣

Tatizo la huyu bibie hakomagi maana hata tatizo la ugumba amelipata kwa kutoa toa mimba hovyo alikuwa hataki kushika wa kulea mimba kisa atazeeka🤣🤣🤣maskini ya Mungu anakuja kukumbuka shuka pameshakucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hilo halijamtosha eti ndo kaja na hili kukata utumbo ili awe pisi kali mwisho wa siku ndio hivyo Sasa kawa kikojozi.

Kwa mwendo huu hakuna mwanaume atakayeweza kudumu naye muda mrefu ,maana watu wanataka watoto na pia tatizo lake hilo la mkojo ndio kabisaaaaaa yani

Hata huyu dogo ambaye yupo naye sasa wakimaliza mwaka huu bila kumwagana mniite mbwaaaa, nimekosa pale nawasubiri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Funzo kwa akina dada wote ridhikeni na vile alivyowaumba Mungu msije kutaabika kama mwali huyu anavyotaabika sasa.
We Steve nyerere unakazi
 
Kukojoa kila mara ni matokeo ya kukata utumbo according to mtoa mada

Mtoa mada anajaribu kubashiri mambo labda sepenga alipungua sana baada ya kupata sukari(ugonjwa) ndiyo maana anakojoa kila baada ya nusu saa who knows is related with section?
 
Watu tunatofautiana kweli, mi mtu mwenye matatizo ugonjwa Wala Maisha siwezi kumcheka, sababu Kama tatizo kapata mwenzako hata wewe au ndugu jamaa zako wanaweza kupata.
 
Ye alikuwa anadanga kwa yule baba
Me nlikuwa namaanisha

Sa akaharibu maana me nkoshaona manyoya tu kosaaaa nkaanchana na mbabu wa watu
Kawaida Sanaa...Kwa Wema Wala sishangai maana humu hatujuani
 
Back
Top Bottom