Usichana wa kijinga umemponza Sasa amekuwa kikojozi

We Steve nyerere unakazi
 
Kukojoa kila mara ni matokeo ya kukata utumbo according to mtoa mada

Mtoa mada anajaribu kubashiri mambo labda sepenga alipungua sana baada ya kupata sukari(ugonjwa) ndiyo maana anakojoa kila baada ya nusu saa who knows is related with section?
 
Watu tunatofautiana kweli, mi mtu mwenye matatizo ugonjwa Wala Maisha siwezi kumcheka, sababu Kama tatizo kapata mwenzako hata wewe au ndugu jamaa zako wanaweza kupata.
 
Ye alikuwa anadanga kwa yule baba
Me nlikuwa namaanisha

Sa akaharibu maana me nkoshaona manyoya tu kosaaaa nkaanchana na mbabu wa watu
Kawaida Sanaa...Kwa Wema Wala sishangai maana humu hatujuani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…