Ni kweli kuna biashara/watu maisha yao hata wakiwa hivyo ni sawa tuNina jirani ana mambo ya kiyahudi sana nami kwakuwa somehow ni anti-semitic situmii huduma zake za fedha.
Kuna wale wanaojidai kufata dini sana huwa sitaki mazoea na huduma zao unless awe familia ya kinabii au sheikh maana inawalazimu wawe hivyo hata kwa unafiki tu. Siwezi fanya kazi na mtu anayelazimisha nimuone ni mcha Mungu.
Mkuu kufungulia mawaidha au mahubiri, qaswida au nyimbo za kwaya nk haileti athari yyte kwa mteja, kama tatizo basi itakua ni la huyo mteja coz hajitambui kikichompeleka pale dukani au ofisini, Tz ni nchi moja wapo ambayo inayoishi kwa uvumilivu sana raia wake, sidhani kama kutakua na athari kwa hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
sipendi hiyo tabia ki ukweli,yani watu wana show off za ajabu halafuHii haileti picha nzuri hata kidogo
Kama ni mkristo: Unakuta kaning'iniza rozari juu au kaweka picha ya yesu ukutani
Kama haitoshi unakuta kakuwekea na kifungu marko 3:21-26
Kwa waislamu: unakuta kaweka maandishi ya kiarabu ambayo kwa wasiojua lugha wanaweza wakahisi ni madongo ambayo yanawalenga watu wasio waislamu
Au dukani unakuta kaweka picha inayoonesha jiwe la makka halafu pembeni kuna vidada viwili vya kiarabu vimenyoosha mikono ishara ya kuomba huku vikiangalia juu
Dini ilitakiwa ndio ziwe mstari wa mbele kuoneshana upendo baina ya dini moja na nyingine lakini imekua tofauti sanaNimecheka sana,eti umemshauri aende zenji akafungue bucha la nini?
STRUGGLE MAN amini nakwambia usione mtu kakunyamazia ufikiri
kapendezwa na hicho unachokifanya,tumshukuru MUNGU hajatupa uwezo
wa kuona moyo wa mtu mwingine unasemaje,tungekimbiana nakwambia.
Imani ipi niliyo nayo?
Nyie watu watu nyie!!! Mbona hizi mada zinaibuka sana mwezi huu wa ramadhani? Kipindi mabasi ya mikoani yanapiga kwaya mwanzo mwisho mlikuwa wapi kushauri?Biashara zina mbinu nyingi sana za uendeshwaji kila mtu anatumia mbinu yake ili kupata wateja wake ila huwa nawambiaga watu kila siku ktk biashara hamna kitu kirahisi kama kupata mteja/wateja,yani katika vitu huwa virahisi hicho ni namba 1.
Shida/mtihani/mziki huja wapi unajua? Kumfanya yule mteja aliekuja kwako leo kununua sukari wiki ijayo sukari yake ikiisha arudi tena hapo hapo dukani kwako kununua sukari,Kumfanya yule mteja uliemshonea nguo leo,kesho pia akitaka kushona nguo ingine afikirie kurudi hapo hapo ofisini kwako kushona.
Kuna mambo mengi ambayo humfanya mteja arudi kupata huduma ofisini kwako,leo tuongelee hili swala la imani zetu za dini tulizonazo/tulizokuzwa nazo tangu utoto mpk sasa tumejitambua tumekua watu wazima,nitaweka tabia chache tu ambazo si nzuri kwa mfanyabiashara
Kufungulia Mahubiri/mawaidha
Ni kweli nafahamu wewe ni mlokole kweli tena umekuzwa katika maadili ya ulokole na utakatifu tangu utoto wako na najua jinsi gani unatamani kuwa karibu na Mungu wako wakati wote unapotembea/unapokaaa/unapopiita nk nk,na tena nafahamu wewe ni muislamu swafi kabisa usie na mawaa na wala hua ujinga wowote ktk maisha yako ila linapokuja swala la biashara tujue kutofautisha A na B,biashara na imani yako ni vitu viwili tofauti.
Mtu anafungua ofisi yake asubuhi na siku hizi Tangu flash ziingie ndio balaa,bora zamani ilikua mtu anaweka Radio station kuna ule muda wa matangazo hata mteja akiingia anajua hii radio,ila siku hizi unakuta mtu ana flash yake kaijaza mawaidha/mahubiri halafu sasa akiingia kazini anachomeka kwenye radio yake ofisini panageuka kanisani/msikitini kelele mwanzo mwisho,mahubiri anatoka mwakasege anaingia rwakatare,anafata gwajima,anakuja mwamposa yani Hamna Poo.
huku kwingine ni DUA au Mawaidha yanatoka ya dokta sule,anafata kipoozeo,anakuja othman maalim anakuja kishki yani ni bandika bandua ukiingia dukani/ofisini kwa mtu unakua huelewi yani unavurugwa tu yani kwa mfano mimi ninapoingia duka la mtu wa namna hii bila kujali n mkristu mwenzangu au muislamu huwa naweza jikuta naghairi natoka natafuta duka lingine.
Kufungulia Nyimbo za imani yako
Unaingia mahali unapokelewa na kaswida,kwaya,nk ki ukweli sisemi ni vibaya kuburudika ofisini kwako na nyimbo uzipendazo lakini kumbuka hapo n kwenye biashara na sio kwako,ukiwa nyumbani kwako pga kasidah/kwaya/mahubiri hadi chooni hutoskia mtu anaongea kitu kwasababu kule ni kwako,lakini tunapokuja huku kwenye biashara tambua hapo si kwako mwenye pake ni mteja wako.
Unajiskiaje mwenye eneo lake "mteja" kaingia (ni mkristu aliye kwiva kbsa) anakukuta unaskiliza mawaidha yale ya waislamu wakisema wakristu ni makafir kisha wanachangia kwa maneno yao yale ya ajabu ajabu,hv unafkiri huyu mteja akiskia unategemea next time atarudi kwenye hilo duka au hiyo ofisi kupata huduma? Sahau.
Unajiskiaje mwenye eneo lake "mteja" kaingia (ni muislamu wale wa itikadi kali) anakuta unaskiliza mahubiri ya hawa wahubiri wasio na break midomoni anasema "waislamu wote wana mapepo,waje kwa yesu awaokoe" hivi huyu mteja akaingia akakutana na hiki kipande unafikiri kesho yake kama anataka sukari imeisha kwake atarudi hapo kwako? sahau Anaweza kunywa hata maji na mkate nakuhakikishia.
Kuchoma/kufukiza UDI
Hii sijui maana yake nini lakini kusema ukweli ktk vitu nachukia mpaka nashkwa na kitu kooni ni pale ninapoenda sehemu ya mtu ya biashara halafu nasikia harufu za namna hii ki ukweli inakera inaboa na inaudhi,kama ni masharti ya waganga hebu ombeni waganga wawabadilishie hayo masharti maana ki ukweli wateja wengi huchukizwa na hicho kitu ni basi tu hawawezi kukwambia.
Imani zetu tujaribu kuzitenganisha na biashara zetu,tufahamu kwamba biashara si mali zetu,una duka la TV fahamu kwamba hizo TV si zako n za wateja zingekua zako ungezipeleka kwako lakini kwakua umefahamu sio zako umeamua kufungua frem ili mwenye tv yake aje ifata siku atakayoamua yeye,sasa kwanini unatengeneza mazingira ya ki ubaguzi kwenye ofisi yako?
unajua kuna watu hawapendi hata kuwasiliana na mtu ambae ni tofauti nae kiimani achilia mbali kununua bidhaa yake,humjui mteja wako n wa aina gani na atakuja vipi nadhani ni vyema unapokua ktk biashara uwe Neutral,simama kati kati akija muislamu msalimie kiislamu kama unajua kusalimia,akija mkristo msalimie ki kristo kama n mtu mpenda hzo salamu,kaa hapo kati kati.
Usiwatenge wateja wako na imani yako,wewe amini unachokiamini,Muamini unaemuamini lakini unapokuja kazini STAY NEUTRAL epuka kuweka/kuonyesha alama zozote za dini flani ktk eneo lako la biashara,usije ukasema hukuambiwa na kama unaona nina gubu sawa kama haikufai iache hapa hapa. END.
Mkuu kufungulia mawaidha au mahubiri, qaswida au nyimbo za kwaya nk haileti athari yyte kwa mteja, kama tatizo basi itakua ni la huyo mteja coz hajitambui kikichompeleka pale dukani au ofisini, Tz ni nchi moja wapo ambayo inayoishi kwa uvumilivu sana raia wake, sidhani kama kutakua na athari kwa hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema sana ila kuna vichwa ngumu watakuja kukubishia hapa , mie vyote naweza kuvumilia japo kwa taabu ila sio hayo maharufu sijui ya udi ubani ni vitu ambavyo sijawahi kuvipenda kabisa
Acha ujinga, unatakiwa ujuwe mbali na alicho sema mleta mada pia kuna wengine hawana dini kabisa je? unafikiri atarudi? pia sio wote wanapenda Ma udi udi na Mahubiri/Mawaidha muda wote...Kila Kitu na Muda wake na Kwa mtu sahihi.
Umenena vema,lakini sio watu wa dini tu Bali kwa upande mwingine hata mambo yanayokwenda kunyume na dini yanaweza kuwa ni kikwazo kwa mtu wa duni mfano kama miziki n.k kwa mtu wa dini anakuwa anakerwa.Biashara zina mbinu nyingi sana za uendeshwaji kila mtu anatumia mbinu yake ili kupata wateja wake ila huwa nawambiaga watu kila siku ktk biashara hamna kitu kirahisi kama kupata mteja/wateja,yani katika vitu huwa virahisi hicho ni namba 1.
Shida/mtihani/mziki huja wapi unajua? Kumfanya yule mteja aliekuja kwako leo kununua sukari wiki ijayo sukari yake ikiisha arudi tena hapo hapo dukani kwako kununua sukari,Kumfanya yule mteja uliemshonea nguo leo,kesho pia akitaka kushona nguo ingine afikirie kurudi hapo hapo ofisini kwako kushona.
Kuna mambo mengi ambayo humfanya mteja arudi kupata huduma ofisini kwako,leo tuongelee hili swala la imani zetu za dini tulizonazo/tulizokuzwa nazo tangu utoto mpk sasa tumejitambua tumekua watu wazima,nitaweka tabia chache tu ambazo si nzuri kwa mfanyabiashara
Kufungulia Mahubiri/mawaidha
Ni kweli nafahamu wewe ni mlokole kweli tena umekuzwa katika maadili ya ulokole na utakatifu tangu utoto wako na najua jinsi gani unatamani kuwa karibu na Mungu wako wakati wote unapotembea/unapokaaa/unapopiita nk nk,na tena nafahamu wewe ni muislamu swafi kabisa usie na mawaa na wala hua ujinga wowote ktk maisha yako ila linapokuja swala la biashara tujue kutofautisha A na B,biashara na imani yako ni vitu viwili tofauti.
Mtu anafungua ofisi yake asubuhi na siku hizi Tangu flash ziingie ndio balaa,bora zamani ilikua mtu anaweka Radio station kuna ule muda wa matangazo hata mteja akiingia anajua hii radio,ila siku hizi unakuta mtu ana flash yake kaijaza mawaidha/mahubiri halafu sasa akiingia kazini anachomeka kwenye radio yake ofisini panageuka kanisani/msikitini kelele mwanzo mwisho,mahubiri anatoka mwakasege anaingia rwakatare,anafata gwajima,anakuja mwamposa yani Hamna Poo.
huku kwingine ni DUA au Mawaidha yanatoka ya dokta sule,anafata kipoozeo,anakuja othman maalim anakuja kishki yani ni bandika bandua ukiingia dukani/ofisini kwa mtu unakua huelewi yani unavurugwa tu yani kwa mfano mimi ninapoingia duka la mtu wa namna hii bila kujali n mkristu mwenzangu au muislamu huwa naweza jikuta naghairi natoka natafuta duka lingine.
Kufungulia Nyimbo za imani yako
Unaingia mahali unapokelewa na kaswida,kwaya,nk ki ukweli sisemi ni vibaya kuburudika ofisini kwako na nyimbo uzipendazo lakini kumbuka hapo n kwenye biashara na sio kwako,ukiwa nyumbani kwako pga kasidah/kwaya/mahubiri hadi chooni hutoskia mtu anaongea kitu kwasababu kule ni kwako,lakini tunapokuja huku kwenye biashara tambua hapo si kwako mwenye pake ni mteja wako.
Unajiskiaje mwenye eneo lake "mteja" kaingia (ni mkristu aliye kwiva kbsa) anakukuta unaskiliza mawaidha yale ya waislamu wakisema wakristu ni makafir kisha wanachangia kwa maneno yao yale ya ajabu ajabu,hv unafkiri huyu mteja akiskia unategemea next time atarudi kwenye hilo duka au hiyo ofisi kupata huduma? Sahau.
Unajiskiaje mwenye eneo lake "mteja" kaingia (ni muislamu wale wa itikadi kali) anakuta unaskiliza mahubiri ya hawa wahubiri wasio na break midomoni anasema "waislamu wote wana mapepo,waje kwa yesu awaokoe" hivi huyu mteja akaingia akakutana na hiki kipande unafikiri kesho yake kama anataka sukari imeisha kwake atarudi hapo kwako? sahau Anaweza kunywa hata maji na mkate nakuhakikishia.
Kuchoma/kufukiza UDI
Hii sijui maana yake nini lakini kusema ukweli ktk vitu nachukia mpaka nashkwa na kitu kooni ni pale ninapoenda sehemu ya mtu ya biashara halafu nasikia harufu za namna hii ki ukweli inakera inaboa na inaudhi,kama ni masharti ya waganga hebu ombeni waganga wawabadilishie hayo masharti maana ki ukweli wateja wengi huchukizwa na hicho kitu ni basi tu hawawezi kukwambia.
Imani zetu tujaribu kuzitenganisha na biashara zetu,tufahamu kwamba biashara si mali zetu,una duka la TV fahamu kwamba hizo TV si zako n za wateja zingekua zako ungezipeleka kwako lakini kwakua umefahamu sio zako umeamua kufungua frem ili mwenye tv yake aje ifata siku atakayoamua yeye,sasa kwanini unatengeneza mazingira ya ki ubaguzi kwenye ofisi yako?
unajua kuna watu hawapendi hata kuwasiliana na mtu ambae ni tofauti nae kiimani achilia mbali kununua bidhaa yake,humjui mteja wako n wa aina gani na atakuja vipi nadhani ni vyema unapokua ktk biashara uwe Neutral,simama kati kati akija muislamu msalimie kiislamu kama unajua kusalimia,akija mkristo msalimie ki kristo kama n mtu mpenda hzo salamu,kaa hapo kati kati.
Usiwatenge wateja wako na imani yako,wewe amini unachokiamini,Muamini unaemuamini lakini unapokuja kazini STAY NEUTRAL epuka kuweka/kuonyesha alama zozote za dini flani ktk eneo lako la biashara,usije ukasema hukuambiwa na kama unaona nina gubu sawa kama haikufai iache hapa hapa. END.
Aaah mkuu nitakuwa nawauliza pia. Mtu ni mmanyema hajawahi fika hata Oman na Kiarabu wala hakijui vizuri anakusalimia hivyo then anadai ni salamu ya kawaida, mbona hajawahi kunisalimia kimanyema ambacho sikijui pia.bila kusau salamu wanazotumia sana sana waislam, kila mtu wanaemuona ni salam aleku tu...
ukiwauliza utasikia salam aleku ni lugha ya kawaida tu kama za asubuh, asa kama lugha ya kawaida mbona haitumiki kanisani!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kimekufanya ufikiri kua lazima nina imani ambayo iko dhidi ya uislam?Ww si umesema kuwa Muislam ndugu yake Muislam, sijakataa sasa kama ww si Muislam basi utakua na Imani yako agaist hio Uislam, je lini ulibaguliwa na Muislam kwa kufungua bucha la kitimoto na zenji sehemu gani? NB:jizungumzie kama ww ulete na ushahidi, lini ulibaguliwa zenji kwa kufungua bucha?
Sent using Jamii Forums mobile app
We dada pussy tuliza mshono, ww kilichokupeleka dukani ni mawaidha au kununua na kuondoka? Usimpangie nn mtu cha kufanya dukani kwake, ww kama ukiona kero sepa, 2) Acha maneno ya shombo siku ya 2 kuwa na heshima sio unaropokwa tu coz apa tunajadiliana kila mmoja yuko free kutoa mawazo fack... Pussy
Sent using Jamii Forums mobile app