Usichanganye Imani yako na Biashara,si nzuri inakupotezea wateja

Yaan i wish ungemuelewa mtoa mada hope ungenufaika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukianza kwenda kumwona mkuu nishtue japo na mimi nimpeleke vidonge vya maumivu[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bila kusau salamu wanazotumia sana sana waislam, kila mtu wanaemuona ni salam aleku tu...
ukiwauliza utasikia salam aleku ni lugha ya kawaida tu kama za asubuh, asa kama lugha ya kawaida mbona haitumiki kanisani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishagombana na muarabu sjui mnani yule alinisalimia hivyo namimi

nikamjibu "bwana yesu asifiwe" ktk kulumbana tukapishana kauli mwisho

niliamua kuondoka ila nilimuacha anaongea sjui alimaliza saa ngapi kuongea.
 
Reactions: _ly
Binafi hii ya kuchoma udi hua inanikera kwel mimi na nikipita duka hilo huwa sirudi tena
Binafsi hata mimi huwa sirudi hilo duka tena,labda

hata itokee bahati mbaya gani,sipendi sipendi kbsa
 
Na sisi tunaoweka status je?
Kama unatumia status kutangaza biashara zako elewa kuwa

hizo status ndio dukani kwako,sasa mtu kama mimi ni kiview

siku nikakuta mahubiri,next day nikakutana gospel asee sirudii

ku view status zako maana najua fika ntakutana na Injili that means

mteja kama mimi utanikosa siku utakapoweka mzigo mzuri maana tyr

ulinipoteza bila wewe kujua,Kama unaweka status instal whatsapp mbili

kwenye simu yako,weka Official whatsapp weka na FM whatsapp kisha

chagua namba ambayo utaitumia kwa biashara na kuweka status zako za kazi

na namba nyingine itumie kwa ishu zako,weka taka taka zote unazotaka huko status.
 
Hii mada nimewahi kuwaza kuandika, ulichosema ni kweli kabisa na kuna watu huwa wanakosea

Kwenye upande wa dini umeuelezea, kuna upande wa siasa pia

Unakuta mtu ameweka bendera ya Chama chake kwenye Ofisi yake ya kibiashara

Unakuta mtu mwanzo mwisho ni nyimbo za Chama chake cha siasa

Unakuta mmiliki mwingine wa biashara kazi yake ni kuvaa nguo za Chama flani

Kama ni mjasiriamali unapaswa kukumbuka kuwa, eneo lako la kazi halipaswi kugeuka kuwa sehemu ya Uenezi wa Chama chako. Watu wanasahau kuwa wateja wao wana itikadi tofauti tofauti za kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Source ya biashara ni imani mkuu umefata sukari chukua sukari sepa mengine waachie wenyewe kama ulinyo ww hupendi mahubiri na wenzio hawawapendi wa2 wasiosikiliza mahubiri
 
1.wewe ni msabato,unabiaahara na siku sabato ikianza unafunga biashara yako eti sabato imeanza wale ambao ni wateja wako ambao sii wasabato unataka na wao waanze sabato?

2.wewe ni mkatoliki ama mlokole una duka ama hoteli mwezi wa kwaresma ,na jumapili unafunga eti ni mwezi watoba,wateja wako hawajui imani yako wanachojua ni kwamba umepewa leseni na serikali utoe huduma kwa umma bila ubaguzi sasa ukimaliza mwezi wako wa toba wateja wakiwa wamehama utarudi kanisani kuomba maji ya upako ili kurudisha wateja?

3.wewe umefunga mwezi mtukufu ,umepewa leseni kuhudumia umma lakini wewe unafunga biashara na kuwalazimisha wateja wako naowafunge6
 
Naunga mkono hoja mkuu
Kuwa neutral ni jambo muhimu sana.
Wadau wamegusia vizuri kwenye dini na siasa. Acha mimi niongezee kwenye ushabiki, unakuta mtu duka zima
Kalipiga mibendera ya club anayoshabikia, kavaa jezi, ukutani kalenda ya team yake yaani hata bidhaa anayokuuzia unakuta amekufungashia kwenye kigazeti kinachofagilia team yake.
Hua mara kadhaa tunazichukulia kama sababu ndogo ndogo lakini kwa mtazamo mpana zinaweza kuathiri soko la bidhaa za mtu.
Mimi binafsi imeshawahi nitokea mara kadhaa nikaacha kununua bidhaa kwa mtu kwa sababu tu kapiga uzi wa team yake inayopingana na team ninayo shabikia.
Tuweni neutral kwa masaa machache ya kazi, ukirudi nyumbani hata ukipenda jifunike mpaka shuka la team yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…