Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha Mimi ni msukuma pia wa mwanza . Lkn sijaona msukuma huku akivaa sketi.. natambua pia hata highland Kuna wanaume wanavaa sketi . Natambua pia wamasai wanavaa mashuka . Lkn siyo vazi rasmi la dunia nzima .Mkuu inaonesha wewe sio mtembeaji Sana;
Nenda lukwa sehemu inaitwa maji Moto utawakuta wasukuma wengi Tu wanavaa sketi za kike tena na ma wigi kichwani;
Anazungumzia community or society flani wakati wewe upo world wide umeeleweka mkuuHahahaha Mimi ni msukuma pia wa mwanza . Lkn sijaona msukuma huku akivaa sketi.. natambua pia hata highland Kuna wanaume wanavaa sketi . Natambua pia wamasai wanavaa mashuka . Lkn siyo vazi rasmi la dunia nzima .
Hapa nazungumzia urasmi wa mavazi kidunia ambapo ukilipeleka Hilo vazi Hakuna atakayestuka Wala kushangaa.
Mkuu inaonesha wewe sio mtembeaji Sana;
Nenda lukwa sehemu inaitwa maji Moto utawakuta wasukuma wengi Tu wanavaa sketi za kike tena na ma wigi kichwani;
Umeona hiyo chiefAnazungumzia community or society flani wakati wewe upo world wide umeeleweka mkuu
Pamoja Sana mkuuHii ni summary ya nyimbo Moja ya John Lennon inayoitwa nobody told me.... Hii ngoma imeelezea haya yote ....big up mleta mada
Ahsante Sana mkuuSafi sana [emoji123]
Eminza nkoiSwea makungu,ngwa'guku nkoi,Naguguchoba.
Naam
Thanks Sana mdau#Respecte
mnatuchanganya sasa tushike lipiUsichanganyikiwe na Dunia, Mambo Ndivyo Yalivyo..
Tuna Wanawake Malaika lakini Hatuna Malaika wa Kike..[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dini nyingine ili uwe kiongozi lazima usiwe kapera na kuna dini nyingine ili uwe kiongozi lazima uwe kapera na wote wanaamini dini moja.Usichanganyikiwe na Dunia, Mambo Ndivyo Yalivyo..
Tuna Wanawake Malaika lakini Hatuna Malaika wa Kike..[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Ni kweli mkuu"Wengi wanapenda ngono lakini kuzaa hawataki"machoni kama watu by binti komando
Mkuu wewe tafuta kuujua ukweli na ukiujua uuishi huo ukweli Siku zote za kusafiri kwako chini ya juamnatuchanganya sasa tushike lipi
Yaani wale walioipokea Imani mwanzoni ndiyo wamewachanganya Sana watuKuna dini nyingine ili uwe kiongozi lazima usiwe kapera na kuna dini nyingine ili uwe kiongozi lazima uwe kapera na wote wanaamini dini moja.