Usichokijua kuhusu Amazon

Usichokijua kuhusu Amazon

contask

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2021
Posts
780
Reaction score
1,579
Habari wakuu

Baada ya uzi wangu wa utafiti ambao ulifutwa sasa nimekuja na uzi mpya

Katika pitapita zangu za Amazon nikakutana na uwezo wa kucreate seller acount ambayo unaweza ukachukua plan ya individual account ambayo itakua inalipiwa 0.9USD kwa kila mauzo unayoyafanya

NIkapitia price ya simu kama samsung galaxy,iphone na zingine ziad nikagundua ni price kubwa sana mfano samsung galaxy note 10 plus ni usd300+ nayo ni used sio mpya lakini bongo ni bei ya chini sana ambayo unaweza ukaipata kwa 380000

Kuhusu inshu ya box za simu ziko pale aggrey kwa 10000 pia unaweza kupiga hadi lamination

💥Hapa naongelea experience sio story za jaba wakuu mfano
👉Google pixel 6 plain ni 420000
👉Pixel 6a ni 450000
👉6 pro ni 540000
👉samsung note 10 plus ni 380000
👉note 20 utra ni 460000 nazingine nyingi sana

Sawali langu.

Je unaweza ukafungua seller account ukauzia simu zako nje ya nchi na ndani ya nchi kupitia amazon?

Na je unaweza kufanya expertation nje ya nchi?

Na je gharama zake zipohe kwenye kusafirisha electronics hasa mobile phones?

Wajuzi wa mambo karibuni 🙏
#work smart
 
11:36pm
Location: Catholic University of Mbeya, Mafyati, Mbeya, Tanzania, East Africa.
 
Back
Top Bottom