Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Atumie dola million 100 kusafirisha mashabiki wakati hilo pambano bila kujali matokeo litamwingizia dolla million 99 hiyo itakuwa akili au matope?
Pia alikulia kwenye umaskini mkubwa akiwa ombaomba wa mitaani anyelala
kwenye mitaro. Kipaji cha ubondia ndicho kilichomtoa mitaroni.
Ndugu yangu Dolla million 100 kwa ajili ya washabiki wake 900, ni ngumu kumeza au ulimanisha nini????????????????
mangumi yote anayopigwa kichwan atakuwa na akili ya kuongoza nchi kweli?
Jamaa mbali na kuwa bondia mkubwa sana lakini pia ni mbunge wa huko nchini kwake ufilipino na tetesi zilizopo ni kwamba anataka kugombea urais wa nchi hiyo mana raia wake wanamkubali sana kwasababu kwanza kama tunavojua kua ufilipino ni moja ya nchi maskini kwahiyo jamaa pamoja na kuwa mbunge wala hakai mjini kwenye majumba ya maana kama walivo wenzake yan yeye yupo mtaa wa kawaida tu na wanawanchi wake,kwa dar unaweza kusema mbagala alafu kingine ni kwamba wakati anaelekea las vegas alinnua tiketi zenye thamani ya dola mil 100 kwa ajil ya washabiki wake 900 alosafiri nao kutoka ufilipino..
Nawasilisha
Kuna tetesi Myweather anataka kulikimbia pambano!
Hata mm nimesoma sehemu kuwa kunauwezekano mkubwa maywether kutotokea kwny pambano! Dah! Ikitokea ivyo basi ngumi kwake basi, aende tu hakapigwe,ila tahalibiwa sura yule
Kuna tetesi Myweather anataka kulikimbia pambano!
Kwa tetes zilizopo ni kwmb management ya mywether imetengeneza mazngira ya mywether kushnda ktk pambano hilo sasa cjui wamefanya nn
Ndugu yangu Dolla million 100 kwa ajili ya washabiki wake 900, ni ngumu kumeza au ulimanisha nini????????????????