Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Jamaa mbali na kuwa bondia mkubwa sana lakini pia ni Mbunge wa huko nchini kwake Ufilipino na tetesi zilizopo ni kwamba anataka kugombea urais wa nchi hiyo maana raia wake wanamkubali sana kwa sababu kwanza kama tunavojua kua Ufilipino ni moja ya nchi maskini kwahiyo jamaa pamoja na kuwa Mbunge wala hakai mjini kwenye majumba ya maana kama walivo wenzake yan yeye yupo mtaa wa kawaida tu na wananchi wake, kwa Dar unaweza kusema Mbagala.
Halafu kingine ni kwamba wakati anaelekea Las Vegas alinunua tiketi zenye thamani ya Dola mil 100 kwa ajili ya washabiki wake 900 alosafiri nao kutoka Ufilipino..
Nawasilisha
Halafu kingine ni kwamba wakati anaelekea Las Vegas alinunua tiketi zenye thamani ya Dola mil 100 kwa ajili ya washabiki wake 900 alosafiri nao kutoka Ufilipino..
Nawasilisha