Usichokijua kuhusu wimbo wa kwanza wa Diamond "Nenda Kamwambie"

Same here.... hua haikosi kwenye play list yangu.
ule wimbo utaishi muda mrefu sababu alituliza kichwa chake hakuweka madoido mengi.
Diamond akiimba wimbo wa taratibu anatoa kitu kizuri. SIKOMI pia upo vizuri mno, kaupangilia vizuri.
 
Ubishi wa kise.nge huu hata kufananisha sura hujui? let me leave wit yo envy mind...
sura hawajafanana...kinachokuchanganya wewe ni huo ushombeshombe tu..hivi miaka yoooote hiyo diamond akae kimya tu bila kutuambia kuwa yule video qn alikuwa ni dada yake esma? be serious at least once my bro, may be you dont know diamond well.!
 
Huyu mwanamke sio Esma.... ni Binti flani hivi jina simjui ila ni shombe zaid ya Esma, Halafu ni msela kiaina...ukizunguka huko kwenye Instagram anapatika japo siikumbuki handle yake. Kama unabisha Kunya Tikiti!
 
sura hawajafanana...kinachokuchanganya wewe ni huo ushombeshombe tu..hivi miaka yoooote hiyo diamond akae kimya tu bila kutuambia kuwa yule video qn alikuwa ni dada yake esma? be serious at least once my bro, may be you dont know diamond well.!
Huyu ndo Esma.
 
 
Huyu mwanamke sio Esma.... ni Binti flani hivi jina simjui ila ni shombe zaid ya Esma, Halafu ni msela kiaina...ukizunguka huko kwenye Instagram anapatika japo siikumbuki handle yake. Kama unabisha Kunya Tikiti!
 
Duuu nilikua sifahamu hayo mkuu.
 
Niliiona Nenda Kamwambie pale Buguruni Chama, kulikuwa kuna tukio flani la kijamii. Tangu siku hiyo niliamini kuwa Diamond was more than Diamond, and he never failed my expectations.
 
Niliiona Nenda Kamwambie pale Buguruni Chama, kulikuwa kuna tukio flani la kijamii. Tangu siku hiyo niliamini kuwa Diamond was more than Diamond, and he never failed my expectations.
 
Niliiona Nenda Kamwambie pale Buguruni Chama, kulikuwa kuna tukio flani la kijamii. Tangu siku hiyo niliamini kuwa Diamond was more than Diamond, and he never failed my expectations.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…