Usidanganye wananchi wa Arusha kwenye kampeni kisa unataka uongozi

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Kama una mpango wa kugombea nafasi yoyote ya uongozi Arusha, kuwa mkweli na usipange kudanganya maana wananchi wa Arusha wameshachoka siasa za kijinga na uongo wa wana siasa. Kama una nia thabiti ya kuleta maendeleo basi karibu Arusha, omba uongozi utapewa, vinginevyo utadhalilika.
 

Attachments

  • VID-20241217-WA0030.mp4
    14.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…