Usidanganyike huwezi pata muujiza kwa Mungu kama unatenda dhambi

Usidanganyike huwezi pata muujiza kwa Mungu kama unatenda dhambi

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.

Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu

Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati wote Yalikuwa mahubiri ya dhambi, dhambi, dhambi, dhambi. Mahubiri ya Yalilenga watu waache uovu, watubu.

Ndugu kama unafanya haya, unanimbuwa tu na Mambo ya Mungu.
1) Ushabiki wa Mpira
2) Uzinzi
3) Uasherati
4) Usengenyaji
5) Wizi
6) Uongo
7) Wivu
8) sanamu
nk. huwezi pata muujiza kutoka kwa Mungu

Hizo short cut za mafuta ya upako, maji ya upako Hazitakusaidia. Utaachwa. Yesu yu karibu mno, mno kurudi. Stuka, tubu

Acha kudanganywa na wimbi la manabii wa uongo. Uponyaji unapatikana kwa jina moja tu, YESU. YESU ndo jina kuu kuliko majina yote duniani.

Kutumia maji, mafuta ya upako ni kujiangamiza nafsi yako

Ndugu TUBU
 
Naomba nikuulize swali je ambaye anafanya shughuli ya matengenezo ya ndege za kivita naye vipi?

Au ambaye pia anacheza Sanaa za mapambano kwa lengo la ulinzi binafsi?
 
Sin is an imaginary disease invented to sell you an imaginary cure.

Hakuna miujiza, Hakuna dhambi, Hakuna Mungu, Hakuna Yesu.

You have your brain power to determine right from wrong and to do everything by yourself.
 
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.

Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu

Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati wote Yalikuwa mahubiri ya dhambi, dhambi, dhambi, dhambi. Mahubiri ya Yalilenga watu waache uovu, watubu.

Ndugu kama unafanya haya, unanimbuwa tu na Mambo ya Mungu.
1) Ushabiki wa Mpira
2) Uzinzi
3) Uasherati
4) Usengenyaji
5) Wizi
6) Uongo
7) Wivu
8) sanamu
nk. huwezi pata muujiza kutoka kwa Mungu

Hizo short cut za mafuta ya upako, maji ya upako Hazitakusaidia. Utaachwa. Yesu yu karibu mno, mno kurudi. Stuka, tubu

Acha kudanganywa na wimbi la manabii wa uongo. Uponyaji unapatikana kwa jina moja tu, YESU. YESU ndo jina kuu kuliko majina yote duniani.

Kutumia maji, mafuta ya upako ni kujiangamiza nafsi yako

Ndugu TUBU
Siku hizi kuna maostaazi nao eti wanafanya maombezi! Ukisikiliza matangazo yao sasa ha ha ha! Nchi imevamiwa hii.
 
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.

Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu

Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati wote Yalikuwa mahubiri ya dhambi, dhambi, dhambi, dhambi. Mahubiri ya Yalilenga watu waache uovu, watubu.

Ndugu kama unafanya haya, unanimbuwa tu na Mambo ya Mungu.
1) Ushabiki wa Mpira
2) Uzinzi
3) Uasherati
4) Usengenyaji
5) Wizi
6) Uongo
7) Wivu
8) sanamu
nk. huwezi pata muujiza kutoka kwa Mungu

Hizo short cut za mafuta ya upako, maji ya upako Hazitakusaidia. Utaachwa. Yesu yu karibu mno, mno kurudi. Stuka, tubu

Acha kudanganywa na wimbi la manabii wa uongo. Uponyaji unapatikana kwa jina moja tu, YESU. YESU ndo jina kuu kuliko majina yote duniani.

Kutumia maji, mafuta ya upako ni kujiangamiza nafsi yako

Ndugu TUBU
Hivi uzinzi na uasherati, ni mambo mawili tofauti?
 
Kwa shidaa n nn ...
FB_IMG_1732536905823.jpg
 
Yanatofautianaje
Tujiulize mbona Mfalme Daudi na Suleiman walifanya sana lakini haikuwa usemavyo
Uzinzi: mwanandoa kutoka nje ya ndoa
Uasherati: Kufanya tendo la ndoa pasipo koa au kuolewa
 
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.

Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu

Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati wote Yalikuwa mahubiri ya dhambi, dhambi, dhambi, dhambi. Mahubiri ya Yalilenga watu waache uovu, watubu.

Ndugu kama unafanya haya, unanimbuwa tu na Mambo ya Mungu.
1) Ushabiki wa Mpira
2) Uzinzi
3) Uasherati
4) Usengenyaji
5) Wizi
6) Uongo
7) Wivu
8) sanamu
nk. huwezi pata muujiza kutoka kwa Mungu

Hizo short cut za mafuta ya upako, maji ya upako Hazitakusaidia. Utaachwa. Yesu yu karibu mno, mno kurudi. Stuka, tubu

Acha kudanganywa na wimbi la manabii wa uongo. Uponyaji unapatikana kwa jina moja tu, YESU. YESU ndo jina kuu kuliko majina yote duniani.

Kutumia maji, mafuta ya upako ni kujiangamiza nafsi yako

Ndugu TUBU
Yesu alisema yoyote atayeomba na kuamini Katika jina lake naye atapata...

Mmeona imebuma mnaanza kuleta masharti kibao ..

Kubalini vinabuma tu yaishe...maisha yanasonga anyways
 
Uzinzi: mwanandoa kutoka nje ya ndoa
Uasherati: Kufanya tendo la ndoa pasipo koa au kuolewa
Haya yote yametengenezwa tu, kwani Suleiman, Daudi na wengineo walifunga ndoa wapi tupe mistari
 
upumbavu wa watu weusi kuamini upumbavu usiokuwa na kichwa wala miguu...
Huyo yesu kama kweli yupo atakuwa ameshawachoka watu weusi, maana ndio jamii inayodharaulika dunia nzima, na wala hata hawajishtukii, ni mwendo wa maombi na upaku mwanzo mwisho....
 
Usihangaike kuomba, kuombewa, mafuta ya upako, maji ya upako.

Kanuni ya kupata muujiza kwa Mungu ni kuacha uovu. Kama bado unafanya uovu usitegemee muujiza kutoka kwa Mungu

Maandiko yanasema akusamehe maovu yako yote, akuponya magonjwa yako yote. ( zaburi 103:3)
Mahubiri ya yesu Kristo wakati wote Yalikuwa mahubiri ya dhambi, dhambi, dhambi, dhambi. Mahubiri ya Yalilenga watu waache uovu, watubu.

Ndugu kama unafanya haya, unanimbuwa tu na Mambo ya Mungu.
1) Ushabiki wa Mpira
2) Uzinzi
3) Uasherati
4) Usengenyaji
5) Wizi
6) Uongo
7) Wivu
8) sanamu
nk. huwezi pata muujiza kutoka kwa Mungu

Hizo short cut za mafuta ya upako, maji ya upako Hazitakusaidia. Utaachwa. Yesu yu karibu mno, mno kurudi. Stuka, tubu

Acha kudanganywa na wimbi la manabii wa uongo. Uponyaji unapatikana kwa jina moja tu, YESU. YESU ndo jina kuu kuliko majina yote duniani.

Kutumia maji, mafuta ya upako ni kujiangamiza nafsi yako

Ndugu TUBU
Sio kweli

Kwenye dini kuna swali muhimu sana la kitheolojia

"Is God Just or Unjust?"

Kwenye kitabu cha Ayubu hili Swali linajadiliwa

Ayubu analuliza Kwa nini Mungu ameacha apate shida wakati anafanya kila Jema, na wasiofanya kama yeye mema hawateseki kama yeye
 
Hivi uzinzi na uasherati, ni mambo mawili tofauti?
1. Uzinzi = Me au Ke kula/kuliwa nnje ya ndoa na Me au Ke alieoa/aliyeolewa.
= Me au Ke kula/kuliwa nnje ya ndoa na Kijana/Binti asiyeoa/asiyeolewa.

2. Uasherati = Kijana kula Binti yeyote ila si Mke wa Mtu.
= Binti kuliwa na Kijana yeyote asiye Mume wa Mtu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom