1. Uzinzi = Me au Ke kula/kuliwa nnje ya ndoa na Me au Ke alieoa/aliyeolewa.
= Me au Ke kula/kuliwa nnje ya ndoa na Kijana/Binti asiyeoa/asiyeolewa.
2. Uasherati = Kijana kula Binti yeyote ila si Mke wa Mtu.
= Binti kuliwa na Kijana yeyote asiye Mume wa Mtu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.