Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Fuatilia jinsi yesu alivyoishi ndipo utatambua mcha Mungu anatakiwa kuishije
Hakuna nabii hata mmoja kwa mujibu ya imani ya uislamu alishindwa mtihani baada ya kutahiniwa na shetani.
Hii utakuta katika biblia, jinsi ilivyokuwa na utovu wa adabu na mitume wa ALLAH.

Na hata akikutahini shetani kwa mja muumini na Kudura ya muumba ipo karibu yako basi kwamwe hutoweza kumuelekea shetani katika mrengo wake.

Adam na Hawa walitahiniwa na ALLAH kupitia shetani aliyelaaniwa ila walitubia kwa makosa yao wala hawakuweza kuelekea katika mrengo wa shetani..

TANBIHI: Kutahiniwa kupo na kukosea kupo kwa binaadam ila kutotubia ni kiburi na kufanya hivyo ndipo matakwa ya shetani yanapotimia.

Shetani ni adui wa kudumu wa mwanaadamu hii yote ni kutokana na husda zake pale alipoambiwa amsujudie adamu kwa sijda ya heshima akakataa na kukaidi maagizo ya muumba wake na kuendelea na kibri chake hapo ndipo alipo laaniwa hadi leo hii!!

Madaraka ya shetani yapo kwa wanaomtii.
 
Hakuna nabii hata mmoja kwa mujibu ya imani ya uislamu alishindwa mtihani baada ya kutahiniwa na shetani.
Hii utakuta katika biblia, jinsi ilivyokuwa na utovu wa adabu na mitume wa ALLAH.
Na hata akikutahini shetani kwa mja muumini na Kudura ya muumba ipo karibu yako basi kwamwe hutoweza kumuelekea shetani katika mrengo wake.
Adam na Hawa walitahiniwa na ALLAH kupitia shetani aliyelaaniwa ila walitubia kwa makosa yao wala hawakuweza kuelekea katika mrengo wa shetani..
TANBIHI: Kutahiniwa kupo na kukosea kupo kwa binaadam ila kutotubia ni kiburi na kufanya hivyo ndipo matakwa ya shetani yanapotimia.
Shetani ni adui wa kudumu wa mwanaadamu hii yote ni kutokana na husda zake pale alipoambiwa amsujudie adamu kwa sijda ya heshima akakataa na kukaidi maagizo ya muumba wake na kuendelea na kibri chake hapo ndipo alipo laaniwa hadi leo hii!!
Madaraka ya shetani yapo kwa wanaomtii.
Mcha Mungu hatakiwi kukosea hata mara moja, nini kinachomfanya akosee?
 
Habari za Shetani kulaaniwa ni uongo mtupu uliotungwa na wale waliomwonea wivu
 
Kwa elimu ya falaki ,ACDs ni kipimo cha nguvu ya imani aliyonayo kiumbe.
1.Jesus Christ ana Acds 💯%
2.Lucifer 40%
3.jini ana 4%
4.binadamu wa kawaida ana 2%.
asilimia upanda kadri unavyozidi kujitoa kwa unaemtumikia kama ni shetani au MUNGU.

Thus mwanadamu pekee bila nguvu ya Mungu hawezi mshinda shetani au wakala wa shetani duniani.

Kupitia nguvu ya shetani mwanadamu anawaweza yatumikisha majini yamfanyie Kazi aitakayo kwa msaada wa shetani.

Imani ni uwezo wa kuamuru jambo litende na likatendeka kupitia nguvu ya mamlaka ya yule unaemuamini akupae nguvu kuu.
 
Hoja zako dhaifu kabisa Gwajima si mtu kama wewe, huo utume kapewa na nan?

Kukosea kwa mtu yoyote kupo hata umuone mchamungu vipi na kutubia pia kupo!!

Kama vile kiu na maji!!
Mchamungu hatakiwi kukosea hata mara moja, kwanini ukosee?
 
Kumuabudu shetani ni sawa na kumuabudu roboti badala ya kumuabudu alitengeneza Roboti
 
Kwa Yesu, shetani alidhani amemkomoa ila alitimiza maandiko. .. . ilikuwa lazma mwana wa Adamu aje aishi kama mwanadamu na asubulubiwe...afanyike laana ..aimwage damu yake isiyo na hatia kwa ajili ya utakaso wa kila mwanadamu mwenye mwili duniani.. afe azikwe na afufuke..

Msalaba una nguvu kuliko mauti.
Vipi yuda ambae nae alitimiza maandiko mbona anashutumiwa sana na kuonekana mbaya wakati alifanya jambo ambalo utashi wake ulikua directed maana iliandikwa lazima atamsaliti yesu
 
Kumuabudu shetani ni sawa na kumuabudu roboti badala ya kumuabudu alitengeneza Roboti
Hii dunia ina siri kubwa sana, mtu atamwabudu Shetani atakuwa trilionea na atawasaidia wanaodhani wao ni wachamungu na hawatakataa msaada huo
 
Hii dunia ina siri kubwa sana, mtu atamwabudu Shetani atakuwa trilionea na atawasaidia wanaodhani wao ni wachamungu na hawatakataa msaada huo
Lakini mwisho wake mbaya shetani hana shukrani wala fadhila,mpe hata ukoo wako wote akiwamaliza ni lazima akutoe wewe kafara na mali zake anachukua ana mpa boya mwingine tena
 
Kuna baadhi ya watu wanadhani shetani ni jambo dogo, ile ni nguvu kubwa iliyoshida binadamu wote. Utakapojaribu kuingia kwenye ugomvi na yeye ndipo utatambua kuwa unajaribu kupigana na jambo usiloweza. Kwa reference fupi, wapo mitume waliojaribu kupambana naye wakaishia kupata adhabu kali zisizoelezeka.

Wakwanza ni Yesu, mwana wa Mungu alipojaribu kupambana nae aliishia kusulubishwa. Ayubu mcha Mungu alipata kipigo kikali sana alipomcha Mungu, Adam na Hawa pamoja na utashi wao wote walitiwa kwenye 18, mitume ikiwemo Stephano walipigwa na mawe mpaka kufa walipoingia kwenye vita na shetani.

Unaposema unataka vita na shetani labda pepo ila sio shetani aliyemsulubisha Yesu, vinginevyo utaishia kuchapwa kipigo kitakatifu.
Asante kwa stori,,
Kwa hiyo unatushauri nini sasa mkuu!?
 
Habari za Shetani kulaaniwa ni uongo mtupu uliotungwa na wale waliomwonea wivu
Basi nenda akakuoe,,, si ni miongoni mwa matakwa yake wanaume wawe mashonga wanawake wawe wasagaji,,, muendelezo wa kizazi usiwepo, kuwe na upungufu wa watu wachache awatawale ghadhabu za Mungu ziteremke awaangamize!

Matakwa yake yatimie kamwe hayatatimia maana kila mda wapo viumbe vya ALLAH wanaomba msamaha kwake na kutaraji malipo kakwe na ndio maana sio kila analolitaka shetani atafanikiwa (kimaandiko) zaidi wewe umeegemea katika utashi wa nafsi yako na akili yako na wala uhakika wa mambo haupo hivyo.
 
Back
Top Bottom