ricostersundi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 358
- 447
Shetani ni lusifa na mapepo ni majini,vibwengo,na kadharikaMkuu, hebu tusaidie tofauti iliyopo baina ya Shetani na Pepo. Mbona zote ni Roho?
Zote ni roho lakini Zina mkuu wao ambaye ndio shetani au lusifaMkuu, hebu tusaidie tofauti iliyopo baina ya Shetani na Pepo. Mbona zote ni Roho?
Kibinadam utamshinda ila kiroho na kiimani umemshinda.maana huu mwili niwamuda tu ila roho iliyosafi itaishi milele.ila roho ovu haitaishi milele.roho ovu zitateketezwa kabisa na hakutakuwa na uwasi tenaMtu amepigwa mawe mpaka kufa alafu anasema ameshindaje?
Ndio Kwan ulitaka kusemajeKumbe yesu ni mwana wa mungu?
Ndio Kwan ulitaka kusemajeKumbe yesu ni mwana wa mungu?
Wewe unaongelea mapepo...tunamuongelea Lucifer hapa brazaNi kweli kabisa na kwa kuijua nguvu ya Yesu kiroho alianza kulia na kusononeka pale alipofikia hatua ya kumwomba Yesu kwa kupiga magoti na kusema "Bwana, usituangamize bali tuamuru twende kwenye lile kundi la nguruwe." Marko 5:1-14
Reference zipo nyingi, wenzetu wengine hawa bado hawajamfahamu, wanapigana na mapepo kila siku wakidhani ni ShetaniBiblia yenyewe inakiri kuwa yeye ndo mtawala wa dunia. Yesu alipokuwa anafunga siku 40, shetani alimfata akamchukua akamtembeza duniani kote akamwambia ukinisujudia mimi nitakupa umiliki dunia yote hii. Yule jamaa ni noma
Wewe unafikiri ni mwana wa binadamu kama wewe?Kumbe yesu ni mwana wa mungu?
Na wala hakuwa shetani ni wanadamu tu na tamaa zao za madaraka, walidhani atawakwapua madaraka.
Mwanzoni sikujibiwa tofauti kati ya mapepo na shetani. Sasa wewe unasema tunamuongelea Lucifer. Naomba nikuulize hesabu hili na unibainishie ni sawa au sio sawa.;Wewe unaongelea mapepo...tunamuongelea Lucifer hapa braza
Hebu tufafanulie ndugu, kwasababu Yesu alikuja kusahihisha watenda dhambi, nao hawakupendezwa kabisa kusahihishwa ndipo wazee wa hekalu wakamtia mikononi kwa lengo la kumwondoa kwasababu hawakupendezwa kusahihishwa.Kusulubiwa kwa Yesu Kristo haukuwa mpango wa shetani hata kidogo, kasome maandiko ujue hili.
Hata kuteswa kwa Ayubu ni mpango wa Mungu na sio shetani kabisa!
Uwe unasoma maandiko kabla ya kukurupuka
yale yalikua mapepo mzeeNi kweli kabisa na kwa kuijua nguvu ya Yesu kiroho alianza kulia na kusononeka pale alipofikia hatua ya kumwomba Yesu kwa kupiga magoti na kusema "Bwana, usituangamize bali tuamuru twende kwenye lile kundi la nguruwe." Marko 5:1-14