Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Usidhani shetani ni mdogo kama unavyofikiri

Lakini mwisho wake mbaya shetani hana shukrani wala fadhila,mpe hata ukoo wako wote akiwamaliza ni lazima akutoe wewe kafara na mali zake anachukua ana mpa boya mwingine tena
Hiyo inatokana na kiburi cha binadamu, ngoja nikwambie kwanini watu wanadai Shetani ni mbaya!

Sababu ya kwanza wao wanamchukulia kwa ubaya. Hawawezi kumdhania ni mzuri basi mara zote wanaishia kulipwa ubaya.

Wale wanaomchukulia ni mzuri basi wanalipwa mazuri. Kila kitu kina uzuri na ubaya. Leo ukasema Mungu ni mwema basi utalipwa mema, ukasema ni mbaya utalipwa mabaya,

Hata baba yako pamoja na mema yake leo hii ukamtukana na kumdhihaki lazima atakufunza ila ukaishi nae kwa wema atakulipa mema, Hapo ndipo watu wanashindwa kumdefine Shetani, akili zao juu yake zinawaza ubaya pasipo wema ndio maana wanalipwa mabaya
 
Hiyo inatokana na kiburi cha binadamu, ngoja nikwambie kwanini watu wanadai Shetani ni mbaya!
Sababu ya kwanza wao wanamchukulia kwa ubaya. Hawawezi kumdhania ni mzuri basi mara zote wanaishia kulipwa ubaya.
Wale wanaomchukulia ni mzuri basi wanalipwa mazuri.
Kila kitu kina uzuri na ubaya. Leo ukasema Mungu ni mwema basi utalipwa mema, ukasema ni mbaya utalipwa mabaya,
Hata baba yako pamoja na mema yake leo hii ukamtukana na kumdhihaki lazima atakufunza ila ukaishi nae kwa wema atakulipa mema,
Hapo ndipo watu wanashindwa kumdefine Shetani, akili zao juu yake zinawaza ubaya pasipo wema ndio maana wanalipwa mabaya
Kitu kibaya tayari koshalaaniwa na hukumu yake tayari kinakuwaje kizuri
 
Kuna baadhi ya watu wanadhani shetani ni jambo dogo, ile ni nguvu kubwa iliyoshida binadamu wote. Utakapojaribu kuingia kwenye ugomvi na yeye ndipo utatambua kuwa unajaribu kupigana na jambo usiloweza. Kwa reference fupi, wapo mitume waliojaribu kupambana naye wakaishia kupata adhabu kali zisizoelezeka.

Wakwanza ni Yesu, mwana wa Mungu alipojaribu kupambana nae aliishia kusulubishwa. Ayubu mcha Mungu alipata kipigo kikali sana alipomcha Mungu, Adam na Hawa pamoja na utashi wao wote walitiwa kwenye 18, mitume ikiwemo Stephano walipigwa na mawe mpaka kufa walipoingia kwenye vita na shetani.

Unaposema unataka vita na shetani labda pepo ila sio shetani aliyemsulubisha Yesu, vinginevyo utaishia kuchapwa kipigo kitakatifu.
Nimeipenda hiyo
 
Kweli yule shetani aliyemsulubu Ayubu angetoa Ile adhabu nusu tu kwa watz wote wangenyanyua mikono juuu.

Sisi tunapambana na mapepo tu na wachawi Ana wanga but huyu mwamba mwenyewe Akija kama unaweza kuwa Ayubu basi we mwamba
 
Kweli yule shetani aliyemsulubu Ayubu angetoa Ile adhabu nusu tu kwa watz wote wangenyanyua mikono juuu. Sisi tunapambana na mapepo tu na wachawi Ana wanga but huyu mwamba mwenyewe Akija kama unaweza kuwa Ayubu basi we mwamba
Tena ni adhabu mbaya sana, Ayubu pamoja na karama yake aliyopewa na Mungu alichapwa vibaya sana, sasa kwa sisi binadamu wa kawaida tukijipima na Ayubu tunapata picha halisi
 
Katika dunia ya Leo hakuna binadamu anayeweza kumkwepa shetani lazima atakudaka tu nani asiye na dhambi na ajitokeze hapa wakati wengi wenu wezi wazinifu wachawi wala rushwa mafisadi wabakaji wanadhulumu shetani ana mvuto kushinda Yesu na Muhammad anaebisha ajitokeze
 
Katika dunia ya Leo hakuna binadamu anayeweza kumkwepa shetani lazima atakudaka tu nani asiye na dhambi na ajitokeze hapa wakati wengi wenu wezi wazinifu wachawi wala rushwa mafisadi wabakaji wanadhulumu shetani ana mvuto kushinda Yesu na Muhammad anaebisha ajitokeze
Nawambia ukweli mtupu tambueni kuwa Shetani ni mtetezi wa wakosefu wote, ana mapenzi mema na wakosefu, pale wakosefu wanaponyooshewa kidole yeye anasema hapana, waacheni watu watu hawa, anawatetea kwa nguvu zake zote wale wasioelewa wanashindwa kujua thamani yake, ni sawa na mtoto wangu anyooshewe kidole kuwa anafanya mabaya na mimi baba yake nimtetee na kukanusha habari hizo,
Wakosefu wamekuwa wakinyooshewa kidole lakini Shetani anawatetea leo hii watu waseme Shetani ni mbaya,
 
Nawambia ukweli mtupu tambueni kuwa Shetani ni mtetezi wa wakosefu wote, ana mapenzi mema na wakosefu, pale wakosefu wanaponyooshewa kidole yeye anasema hapana, waacheni watu watu hawa, anawatetea kwa nguvu zake zote wale wasioelewa wanashindwa kujua thamani yake, ni sawa na mtoto wangu anyooshewe kidole kuwa anafanya mabaya na mimi baba yake nimtetee na kukanusha habari hizo,
Wakosefu wamekuwa wakinyooshewa kidole lakini Shetani anawatetea leo hii watu waseme Shetani ni mbaya,
Hawana wanachojua kama unaakili huwezi kusema shetani mbaya ila kama taira au zuzu utasema shetani mbaya ukiona mtu anasema shetani mbaya ana matatizo ya akili huyo
 
Hawana wanachojua kama unaakili huwezi kusema shetani mbaya ila kama taira au zuzu utasema shetani mbaya ukiona mtu anasema shetani mbaya ana matatizo ya akili huyo
Mtoto wangu akinyooshewa kidole kuwa ametenda mabaya ataumia sana na anakosa pakupata msaada sasa mimi kama mzazi pamoja na makosa yake namfariji na kumpa nguvu kuwa mimi ni baba yako usiogope, nitakutetea, hicho ndicho anachofanya Shetani, wale wanaojifanya wema wanapowaona watu wale walionyooshewa vidole wamepata pakuponea ndipo wanaanza unafiki wao na kusema Shetan mbaya na kuanza kuhubiri habari za chuki kwa watu hao
 
Back
Top Bottom