Usiende kanisani bila sadaka hata kama unamashaka, usiile tafuta pa kuipeleka

Usiende kanisani bila sadaka hata kama unamashaka, usiile tafuta pa kuipeleka

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Hata kama ni tsh 50 sadaka inanguvu kuliko maneno.

Kutoa sadaka ni kitendo, maombezi ni maneno.
Imani bila matendo imekufa

Faida za kutoa sadaka.
1: Utapokea. Maana vya Mungu tunavipata Kwa kutoa.

2: Ulinzi Kwa familia hasa watoto. Ayubu alitolea watoto Sadaka. Hata walipokufa, Mungu alimpa Zaidi baadae.

3:Sadaka alizotoa mwnamke Dorcas Zilisababisha Mungu ahairishe kifo chake Kwa kumfufua.
Sadaka inafufua mambo yaliyokufa.

4: Sadaka itamfya Mungu akuunganishe na mtumishi wa Mungu wa kweli. Cornelius mzungu mpagani sadaka zke zilimshusha malaika akamconnect na Petro.


5; Sadaka ni KAFARA, ni Damu, mtu akila sadaka yako kinyume na utaratibu ni sawa na kunywa Damu yako. Ni Muda tu, hiyo Damu aliyoinywa itamvuruga. Wewe itoe Kwa Imani tu.


Neno linasema.
...Wala wasitokee mbele za Bwana mikono mitupu. Torati 16:16


Fanyia kazi huu ushauri, utakufaidisha.

Muebrania.
Mitale na Midimu.
 
Usimsaidie mtu kwa kuwa Biblia inasema hivyo, toa kulingana na Biblia yako ya rohoni. Jua Biblia iliandikwa tu na binadamu na hujashirikishwa kama ilivyo katiba ya nchi. Mimi Mungu wangu ninamjua mwenyewe na Biblia yangu ni katiba ya nchi.
 
Ila sadaka pia inategemea unatoa kwenye madhabahu gani.

Ukitoa kwenye madhabahu iliyochafuliwa/isiyo takatifu utabeba pia na maroho ya mchungaji
Kwasababu sadaka ni jambo la rohoni, madhabu hizo hazitakiathili ikiwa umekusudia bila kujua behind the scene. Ila ukijua au ukitilia shaka ukafanya Hauna hudhuru.

Ushahidi
Yesu alpongeza mama aliyetoa sadaka kiduchu hekalu. Hilo hekalu wakati wa Yesu lilikuwa na viongozi wakina kayafa wasiowaaminifu na ndio waliomfitini Yesu.

Kama mama alikuwa hajui, hizo madhabu hazina madhara kwake.
 
Usimsaidie mtu kwa kuwa Biblia inasema hivyo, toa kulingana na Biblia yako ya rohoni. Jua Biblia iliandikwa tu na binadamu na hujashirikishwa kama ilivyo katiba ya nchi. Mimi Mungu wangu ninamjua mwenyewe na Biblia yangu ni katiba ya nchi.
Maneno haya yanapingana na mafunisho ya Yesu.
Yesu aliongozwa na Maandiko agano la kale. Na alimshinda Ibirisi Kwa kunukuu torati.

Roho aliyewaongozza waandishi wa biblia akikuongoza na wewe htakuongoza upinge Biblia na kufuata katiba za vichwani.

Tunaongozwa na Biblia na roho aliyeongoza hayo mndishi hajipingi.Hata akikupa kitu kipya, hakitakuwa na ukizani na alichotoa mwanzo.

Barikiwa
 
Hata kama ni tsh 50 sadaka inanguvu kuliko maneno.

Kutoa sadaka ni kitendo, maombezi ni maneno.
Imani bila matendo imekufa

Faida za kutoa sadaka.
1: Utapokea. Maana vya Mungu tunavipata Kwa kutoa.

2: Ulinzi Kwa familia hasa watoto. Ayubu alitolea watoto Sadaka. Hata walipokufa, Mungu alimpa Zaidi baadae.

3:Sadaka alizotoa mwnamke Dorcas Zilisababisha Mungu ahairishe kifo chake Kwa kumfufua.
Sadaka inafufua mambo yaliyokufa.

4: Sadaka itamfya Mungu akuunganishe na mtumishi wa Mungu wa kweli. Cornelius mzungu mpagani sadaka zke zilimshusha malaika akamconnect na Petro.


5; Sadaka ni KAFARA, ni Damu, mtu akila sadaka yako kinyume na utaratibu ni sawa na kunywa Damu yako. Ni Muda tu, hiyo Damu aliyoinywa itamvuruga. Wewe itoe Kwa Imani tu.


Neno linasema.
...Wala wasitokee mbele za Bwana mikono mitupu. Torati 16:16


Fanyia kazi huu ushauri, utakufaidisha.

Muebrania.
Mitale na Midimu.
Mkuu ushakuwa mchungaji siku hizi?

Maana vimstari stari na vinukuu vya vifungu toka biblia ndiyo vimekuwa fimbo ya kupigia pesa za wanyonge.

Wachungaji and the like, wanaishi maisha ya anasa kutokana na hiyo michango ya sadaka za waumini wanyonge na wala kwa kujinufaisha nazo hatujawaona wakipata madhara zaidi ya kustawi tu.

Wewe kama ni kufundisha, fundisha tu lakini usihamasishe, kuhamasisha ni njia ya kutia hofu ili hata wale wasiohiari waachilie.

Mwenyezi Mungu kaumba utajiri wote wa dunia na kuuzagaza aridhini ili waja wautumie bila ya kuhitaji return yoyote na hana shida ya sadaka toka kwa mja ndiyo maana wazungu wanamuita "Lord" kajitosheleza!

Sadaka ni shukrani ya mja kwa mola wake anapojisikia kufanya hivyo, inapaswa kufundishwa na si kuhamasisha kutoa.

Eti ukitoa utaongezewa, inamaana watu wanatoa sadaka kwa ajili ya kuzalisha ili wapate zaidi na siyo kwa imani ya kutoa shukrani?

Ndiyo maana wengine wanasema: "dini siku hizi ni biashara", na mfano mojawapo ni hii thread.
 
Usitoe tu sadaka kama unatupa kapuni,inenee kitu Mungu akufanyie kupitia hio sadaka.
Umenifunulia jambo Mkuu
Nimezoea nikipatwa na jambo ndio natoa huku nikiinenea lakini zingine natoaga tu kama mazoea.
Kumbe kila nikitoa ni vizuri ninene jambo
 
Mkuu ushakuwa mchungaji siku hizi?

Maana vimstari stari na vinukuu vya vifungu toka biblia ndiyo vimekuwa fimbo ya kupigia pesa za wanyonge.

Wachungaji and the like, wanaishi maisha ya anasa kutokana na hiyo michango ya sadaka za waumini wanyonge na wala kwa kujinufaisha nazo hatujawaona wakipata madhara zaidi ya kustawi tu.

Wewe kama ni kufundisha, fundisha tu lakini usihamasishe, kuhamasisha ni njia ya kutia hofu ili hata wale wasiohiari waachilie.

Mwenyezi Mungu kaumba utajiri wote wa dunia na kuuzagaza aridhini ili waja wautumie bila ya kuhitaji return yoyote na hana shida ya sadaka toka kwa mja ndiyo maana wazungu wanamuita "Lord" kajitosheleza!

Sadaka ni shukrani ya mja kwa mola wake anapojisikia kufanya hivyo, inapaswa kufundishwa na si kuhamasisha kutoa.

Eti ukitoa utaongezewa, inamaana watu wanatoa sadaka kwa ajili ya kuzalisha ili wapate zaidi na siyo kwa imani ya kutoa shukrani?

Ndiyo maana wengine wanasema: "dini siku hizi ni biashara", na mfano mojawapo ni hii thread.
Mkuu Mimi siku zote tangu utoto haya ni mambo yangu. Ila sio na sitakuwa mchungaji ingawa wengi wananiita mchungaji. Nimetosheka kuwa Muumini muaminifu kwa serikali ya ufalme wa Mwenyezi Mungu tu.

Mtazamo uliouandika mkuu uko sahihi. Ni baada ya kudecode rasilimali nchi na kupata kipato ndio unatakiwa kutoa sadaka. Kumshukuru Mungu anayebariki.

Zaka na sadaka wanatoa watu waliojitambua webarikiwa hata kama ni 100. Ukitoa Kwa mtazamo wa shukrani inaongeza Raha na furaha Sana.unaweza. Kupitia 1 Nyakaty29 Kuna story hapo nzuri Sana.


Kuhusu wachungaji wapigaji na anasa zao, hao hawajitambui, hawana maarifa. Wako kwenye hatari ya kujiangamiza maana mwisho wa siku ukosefu wa maarifa na mtazmo sahihi wa ktumikia Mungu huleta uangamivu kwao na wafuasi wao.

Kujirundikia na kufuja sadaka ni ukosefu wa shukrani. Alitakiwa arudishe shukrani Kwa asilimia lkubwa ya kipato hcho kukirudisha Kwa jamii na wahitaji.

Na nikinunua Vx sio Kwa sababu ya anasa Bali iwe ili niwafikie kondoo walio katika mazingirayenye miundombinu isiyorafiki. Nkinunua private jet ili iwe rahisi kuwafikia atu wengi dunianibila kupoteza Muda na isiwe sign of wealth.

Kuhusu kutoa ili upate. Hii no kanuni. Tunapata Kwa kutoa. Hata mshahara tunapata Kwa kutoa Muda, skills, nguvu na influence at work place. Sdaka tunatoa kwasababu tumeshapata sio ili tupate Bali ili shukrani zetu zitupe nguvu ya kutoa Zaidi huko kwenye vyanzo vya fedha ili tupate vikubwa vya kutoa Zaidi.


Asante mkuu
 
Mwisho wa siku iyo sadaka inatumika na wahubiri hapa hapa duniani. Unaweza nipa mifano halisi namna inamfikis Mungu
 
Usitoe tu sadaka kama unatupa kapuni,inenee kitu Mungu akufanyie kupitia hio sadaka.
Kweli.
Wala usimpe mtu akutolee sadaka kama hakuna sababu.

Watu wa zamani walipokuwa na issue serious walitoa ibada yao ya maombi iiambatatana na KAFARA/sadaka na matamshi ya kutarajia mambo kutoka Kwa Mungu
 
Sadaka ni utapeli kama utapeli mwingine tu.
 
Wakristo wengi hawatoi kwa uaminifu na haki ndo maana awabarikiwi. KWA shetani wanatoa Sana thus wanafanikiwa kwa shetani unatoa 60% unatumia 40% na ni amri.
Kwa Wakristo wameambiwa 10% 90 tumia lakini awatoi hata hio 10.
Watumishi wa shetani ndio walioleta msemo wa mkitoa sadaka zinaliwa na wachungaji Ili kuwafanya Wakristo wasiwe na moyo wa kutoa kwa hisia zitaliwa. Wanajua kuna kubarikiwa kwenye utoaji, kuna ulinzi wa kiMungu kwenye utoaji, hivyo Wakristo wasipotoa ni hasara kwao na faida kwao shetani.
 
Back
Top Bottom