Usiende kanisani bila sadaka hata kama unamashaka, usiile tafuta pa kuipeleka

Usiende kanisani bila sadaka hata kama unamashaka, usiile tafuta pa kuipeleka

Hata kama ni tsh 50 sadaka inanguvu kuliko maneno.

Kutoa sadaka ni kitendo, maombezi ni maneno.
Imani bila matendo imekufa

Faida za kutoa sadaka.
1: Utapokea. Maana vya Mungu tunavipata Kwa kutoa.

2: Ulinzi Kwa familia hasa watoto. Ayubu alitolea watoto Sadaka. Hata walipokufa, Mungu alimpa Zaidi baadae.

3:Sadaka alizotoa mwnamke Dorcas Zilisababisha Mungu ahairishe kifo chake Kwa kumfufua.
Sadaka inafufua mambo yaliyokufa.

4: Sadaka itamfya Mungu akuunganishe na mtumishi wa Mungu wa kweli. Cornelius mzungu mpagani sadaka zke zilimshusha malaika akamconnect na Petro.


5; Sadaka ni KAFARA, ni Damu, mtu akila sadaka yako kinyume na utaratibu ni sawa na kunywa Damu yako. Ni Muda tu, hiyo Damu aliyoinywa itamvuruga. Wewe itoe Kwa Imani tu.


Neno linasema.
...Wala wasitokee mbele za Bwana mikono mitupu. Torati 16:16


Fanyia kazi huu ushauri, utakufaidisha.

Muebrania.
Mitale na Midimu.
Tatizo sio kutoa sadaka? Je zinatumika ipasavyo?
 
Tatizo sio kutoa sadaka? Je zinatumika ipasavyo?
Makanisa makini Huwa yanatoa taarifa ya mapato na matumizi ya kipato chake na kila idara.
Pia kunakuwa na internal na external auditor kuhakiki na kudhibiti ufujaji. Financial transparency ili sababisha waisrael wamlilie Samweli alipostaafu.

Mungu ni WA utaratibu. Hata yeye aliaudit kazi zake akasema Ni njema Sana. Mimi ninapoabudu huo ndio utaratibu angalau Kuna udhibiti.

Ukiona kanisa hakuna utaratibu, hapo Bora hizo sadaka utoe huduma au vitu kuliko cash.

Mfano.
Unaweza kununua viti.
Matofari.
Mtumishi ukamnunilia suti.
TAFUTA familia isiyojiweza kwenye kusanyiko, toa msaada w vitu kimyakimya.


Lazima utumie hekima
 
Back
Top Bottom