much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sasa akitaka kujua SI atajua hata Sasa?Kabisa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa akitaka kujua SI atajua hata Sasa?Kabisa mkuu
Likiwa jinga yeye na mama yake wanakumaliza.Wanawake wanawaambia watoto ujinga sana😁 sema kwa damu yangu mimi huo ujinga sidhani kama utafua dafu.
Nina binti yangu ambaye akikua atakuwa jembe langu hata mama yake akileta fyoko tutaishi tu mtu wa kunipikia na kunifulia yupo tayari. Mwanamke akizaa toto la kiume akalijaza ujinga ndio unakuwa umekula hasara full suit!
huenda nawe unakichwa kigumu maana mawazo yanayotolewa hapa inakuwia vigumu kuyaelewa wakufanana huruka pamojaUnamuelekeza kichwa kigumu
Exception ipo kwenye kila kitu lakini tunapofanya general conclusion huwa hatuzingatii exceptionality. Mwanaume ukiu-outsmart mfumo mwanamke hana kitu, she is nothingSawa Ila hayo mambo kuna baadhi ya wanawake wanayo.
Kamanda nyie hamtaki Mama ajipatie Msukule ?Likiwa jinga yeye na mama yake wanakumaliza.
Wapambane na hali zaoUkifa?
SawaUtangulie wewe au yeye hiyo ni mipango ya mungu
SiwekagiSimu Haina password?
Ndio ila simpa uho mwanyaSasa akitaka kujua SI atajua hata Sasa?
Hapana mm sipo ivyo kabisahuenda nawe unakichwa kigumu maana mawazo yanayotolewa hapa inakuwia vigumu kuyaelewa wakufanana huruka pamoja
SahihiNadhani ushauri wa maana zaidi ni kama unataka kufunga ndoa / partner fahamu kwamba unapata mwenza, msaidizi wa kuongoza jahazi kwa kupata kwake ni msaada kwako na sio kwamba mnaungana ili kila mtu aende kivyake bali wote muende sawa....
Thus mnakuwa na Chenu na Sio Chako na Chake..., after all kama mna familia na yeye anasaidia matumizi well and good (ndio maana ya msaidizi) sasa usipompa apate alafu kila siku anakupigia kukuomba hapo umemkomoa nani ?
Atapambana wakimshinda sio mimiKwahiyo atakuwa tu bongolala? Ukifa ataleaje watt na hajui kitu?
Hela ya kutunza familia unayo?Mimi hapa nikuoe
Nitakopa yeye si ana kikoba uyo nitamwambia akope kwenye kikoba milioni 20 af ikiisha namkimbiaHela ya kutunza familia unayo?
Kama anaweza kopa million 20 mzeya huyo sio wakuoa maama atakusumbua tuu kwanza mwanamme mwenye uwezo huo hana shida ya mwanaume maisha i mwakeNitakopa yeye si ana kikoba uyo nitamwambia akope kwenye kikoba milioni 20 af ikiisha namkimbia
Kwani pesa ndio zinamzagamua?Kama anaweza kopa million 20 mzeya huyo sio wakuoa maama atakusumbua tuu kwanza mwanamme mwenye uwezo huo hana shida ya mwanaume maisha i mwake
Dildo vibrator zipo mwanawane usisahau na matango piaKwani pesa ndio zinamzagamua?
Kwanini uoe Kama humuamini unayetaka kumuoa?Wanabiashara zao na wao ndio wananipa za ndani kabisa kama ikitaka kuyumbua ua soko lipo vibaya sehemu zinazopatikana kwa bei nafuu yaani nikisema nina ndugu namaanisha sio hao ndugu zenu wenye uchu wa pesa