Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #161
Ahahahah nawajua vyemaKaka Mwachi bado anaishi ulimwengu wa peke yake. Hawajui binadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah nawajua vyemaKaka Mwachi bado anaishi ulimwengu wa peke yake. Hawajui binadamu.
Ahahah kama yeye akitangulia vip?aione kwenye jalada haka katoto ka 2006 hakajajua kuwa haya maisha huwa yanabadilika leo upo kesho haupo au ugonjwa
Mpe darasa usimkatie mtu tamaa mapemaMh sio wote huyu wangu ata kuuza karanga hawezi
Tunza kibunda chakoYote hayo ya nini?
Suluhisho la kudumu ni hili 👉👉👉 KATAA NDOA
Kijana umeoa kimya kimya?
Kabisa mkuuFilisika ndo tutamjua mkeo
Lazima uogopeNdio mwanamke wakizazi hiki anakalia chupa ya mirinda we uogop
Kama wewe hujawahi kutosheka mimi nawezajeHivi ninyi mnatoshekaga?
Na wakalalana kabisaAkiamua kujua atajua tu. Anaweza akachukua namba za agent au namba za dereva anayeleta hiyo mizigo, akajibebisha bebisha mwamba akatoa code zote hadi kuwa unavyonunua huwa unapigwa kwenye bei.
ujasiri, physique, maono, msimamo n.k
Unamuelekeza kichwa kigumuMpe darasa usimkatie mtu tamaa mapema
Kwahy ni kuwa makiniLazima uogope
Your very right! Pia hata usipokufa mke na watoto wako wanakuua kwa kutumia mali ulizowatafutia. Wanaume hatutakiwi kujisahau sisi kwa maisha ya sasa na baadae.Alafu ukifa, biashara inakufa, watoto wako wanaanza kuteseka. Muda mwingine fikiria watoto wako zaidi wataishi vipi wewe uwezo wa kufanya kazi ukipotea.
Hatari sana Mkuu.Na wakalalana kabisa
Uho ndio itakuwa mwisho
Mimi natosheka bhna tena sanaKama wewe hujawahi kutosheka mimi nawezaje
Ngoja tuone mwishoHatari sana Mkuu.
Utangulie wewe au yeye hiyo ni mipango ya munguAhahah kama yeye akitangulia vip?
Simu Haina password?Nikifa atajua tu mzigo nilikuwa nachukulia wapi simu si atashika yeye atasoma kila kitu atapambana kutunza familia usimtengenezee urais mwanamke wa maisha