Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Acha tu kuna jamaa kapata ajali mguu umevunjika kazi hawezi mkewe anambeba mpaka dukani mke kakaaa kwa kutulia anamwambia mumewe chukua mafuta mpe mteja na akijua mumewe ni kilema teyar imenumaa sama iyoLast paragraph ndio yenyewe hiyo
Ndio maana tunatafuta nyumba ziwe mbiliKuna wanaume mnateseka sana. Mnaishi kama digidigi.
Nenda nae pole pole mtafutie fact muhimu sanaUgumu anaweka kweli, mambo mengi yatasimama maana yeye ndio muangaliaji.
Watu hawabadiliki ila wanajifunua sura halisi ambazo hukuziona ....Ukiona kabdilika jua picha mpya ndio yeye halisi.Na tishet juu
Poleni sana.Ndio maana tunatafuta nyumba ziwe mbili
Mkuu mwenye nia hakosi njia hata usipomjulisha akiamua kukubadilikia atakubadilikia tu.It depend na biashara gani unamfungulia
Kamwe sithubutuWatu hawabadiliki ila wanajifunua sura halisi ambazo hukuziona ....Ukiona kabdilika jua picha mpya ndio yeye halisi.
Mkanye mkeo.
Mpe machimbo kama agent.
#Mapigo na mwendo.
Tushapoa endeleeni kututesaPoleni sana.
Sawa ila hakikisha familia inajua wewe ndio kiongozi ukikasirika wewe wao hawali chakulaMkuu mwenye nia hakosi njia hata usipomjulisha akiamua kukubadilikia atakubadilikia tu.
Wanatuua uku tunaonaJf kwasasa ni sumu kwa jamii na kwa jinsi ke
Angekua ni mwanamke ndio kafanyiwa hayo ungeona kawaida.Acha tu kuna jamaa kapata ajali mguu umevunjika kazi hawezi mkewe anambeba mpaka dukani mke kakaaa kwa kutulia anamwambia mumewe chukua mafuta mpe mteja na akijua mumewe ni kilema teyar imenumaa sama iyo
Nikifa atajua tu mzigo nilikuwa nachukulia wapi simu si atashika yeye atasoma kila kitu atapambana kutunza familia usimtengenezee urais mwanamke wa maishaAlafu ukifa, biashara inakufa, watoto wako wanaanza kuteseka. Muda mwingine fikiria watoto wako zaidi wataishi vipi wewe uwezo wa kufanya kazi ukipotea.
Hapana kiubinadamu sio sawaAngekua ni mwanamke ndio kafanyiwa hayo ungeona kawaida.
sio dunia yasasa kwamba iitokea nimekufa nao ndio mwsho wao wa kuishi? Bado una kazi ya kujitahidi kusoma kuongeza maarifa zaidi humu jf.Sawa ila hakikisha familia inajua wewe ndio kiongozi ukikasirika wewe wao hawali chakula
Kwa tulipofikia, endeleeni tu kuteseka tunaishi kwa kuviziana.Tushapoa endeleeni kututesa
Hatari hawa viumbe....Acha tu kuna jamaa kapata ajali mguu umevunjika kazi hawezi mkewe anambeba mpaka dukani mke kakaaa kwa kutulia anamwambia mumewe chukua mafuta mpe mteja na akijua mumewe ni kilema teyar imenumaa sama iyo
Sawa sawa.Hapana kiubinadamu sio sawa