Facts?Nenda nae pole pole mtafutie fact muhimu sana
Dipresheni izi hiaKazi iendeleee.....
🍿🍷🍷🍿
🤣🤣🤣🤣 dipresheni +++Dipresheni izi hia
Machimbo ya dipresheni 😅🤣🤣🤣🤣 dipresheni +++
Najua ila nachomaanisha nikuwa wajue humuhimu wako hivi unajua wanachokipandikiza wanawake kwa watotosio dunia yasasa kwamba iitokea nimekufa nao ndio mwsho wao wa kuishi? Bado una kazi ya kujitahidi kusoma kuongeza maarifa zaidi humu jf.
Ndio uhalisiaKwa tulipofikia, endeleeni tu kuteseka tunaishi kwa kuviziana.
Acha kabisaHatari hawa viumbe....
Unadhani ni rahisi hivyo aanze kushughulikia mambo bila mtu wa kumsaidia. Nina ushahidi kama huo, mzee yule alivyofariki, biashara ikafa maana mke wake ndo akaanza kuangaika sasa kuhusu mambo ya supply na madude mengine.Nikifa atajua tu mzigo nilikuwa nachukulia wapi simu si atashika yeye atasoma kila kitu atapambana kutunza familia usimtengenezee urais mwanamke wa maisha
No ila kuwa nao makini kama bible imekuhasa wew utaki sawaWanawake mnawachukulia Kama ni watu dhaifu hapo ndo tunafeli big time .
Labda uwe na familia yenye mwanamke asiejielewa kwa chochote anaekutegemea kwa kila kitu. Vinginevyo we nuna ukirudi unakuta wamekula hawajakubakizia hata punje.Sawa ila hakikisha familia inajua wewe ndio kiongozi ukikasirika wewe wao hawali chakula
Sio wote wapo hivyo wewe kama mshua play pati yako vizuri kama baba wa familia hakuna litakaloharibika. Kuna wanawake ni zawadi ya mabadiliko kwenye familia wanazoolewa.Najua ila nachomaanisha nikuwa wajue humuhimu wako hivi unajua wanachokipandikiza wanawake kwa watoto
Hatakiwi kujua mambo yote na swala la kufa je akitangulia yeye?Unadhani ni rahisi hivyo aanze kushughulikia mambo bila mtu wa kumsaidia. Nina ushahidi kama huo, mzee yule alivyofariki, biashara ikafa maana mke wake ndo akaanza kuangaika sasa kuhusu mambo ya supply na madude mengine.
Ukipigwa stroke, utaendelea kumficha?
Sawa mkuu.No ila kuwa nao makini kama bible imekuhasa wew utaki sawa
Atakuta kuku na hakuacha hata mia kazi kwake ale au asuse na njaa inamtwanga kisawasawa.Labda uoe mwanamke asiejielewa kwa chochote anaekutegemea kwa kila kitu. Vinginevyo we nuna ukirudi unakuta wamekula hawajakubakizia hata punje.
Ahahaah nitapiga mtu afeLabda uoe mwanamke asiejielewa kwa chochote anaekutegemea kwa kila kitu. Vinginevyo we nuna ukirudi unakuta wamekula hawajakubakizia hata punje.
Wakat uho nishakula kwa mchepukoAtakuta kuku na hakuacha hata mia kazi kwake ale au asuse na njaa inamtwanga kisawasawa.
Mwachi atakula kuku na bado atampiga mke wake aseme alikotoa hela.Atakuta kuku na hakuacha hata mia kazi kwake ale au asuse na njaa inamtwanga kisawasawa.
Ndio upeleke na watoto wakale huko 😂Wakat uho nishakula kwa mchepuko