The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Na huyu ni mtu ambae una lala na kuamka nae mkiwa uchi sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mi maisha yangu tu sijawahi kuumiza kichwa kuhusu Hawa viumbe.Za maamko
Kuna watu mnataka kuwafungulia biashara wake zenu ila epuka hii kitu
Mfungulie biashara ila hakikisha hajui wapi marighafi unatolea yaani machimbo unakochukua mzigo wewe fanya kuwasiliana na argent chukua mzigo fikisha dukani endelea usimpe mwanya wa kuwasiliana na argent unako chukulia mzigo kabisa
Unapo mpa mwanya uho madharau ndani ndio yanazidi mshape mkeo aone bila wewe yeye sio kitu au familia watoto waone bila wewe no familia ndani hawali
Wanaume tunakufa kwasababu za stress ukijifanya kumpa nafasi mwanamke umekwisha dharau zitazidi then atajiona yeye mwamba
Usiwekeze pesa yako kwa mwanamke kabisa kutegemea ipo siku ukishuka kwenye uchumi atakufaa utaambulia manyanyaso
Ya kifo huko kaburiniMm nitakuwa nishaanza maisha mapya
Nakufa naeUtakae muoa