Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Usifanye hivi kwa mkeo kama unataka kumfungulia biashara

Pole sana
Asante kwa hiyo ilo ulilosema kwa mtu kama mimi halifanyi kazi kwa sababu mwanaume kafanikiwa kufanya kama ushauri wako unavyosema na sasa tumegombana kakata huduma kunikomesha cha ajabu anashangaa silii njaa licha ya kunibana miaka yote nane. Mimi toka nimeolewa sijawahi kukanyaga kwa baba yangu mzazi mpaka anasema wewe unataka nikifa ndo uje , nipo dar sijawahi kwenda kusalimia ndugu yoyote yule, mwanaume anakwambia subiri tutaenda tuu. lakini yeye kila siku yupo kwao.
 
Hapo kwa chatgp ulifanyaje aisee?
Unaweza chat nae kiswahili au english. ila mimi nichati english na kumueleza tukio ambalo lilitokea siku hiyo kupelekea kugombana na akashauri njia kadhaa za kufanya, nikawa nazidi kumueleza njia ambazo nimejaribu kufanya na hazijazaa matunda na kumueleza matukio mengine na vile niliamua kusubiri muda uongee lakini bado, ni hivyo tuu nae anatoa ushauri kulingana na data unazompa...
 
Asante kwa hiyo ilo ulilosema kwa mtu kama mimi halifanyi kazi kwa sababu mwanaume kafanikiwa kufanya kama ushauri wako unavyosema na sasa tumegombana kakata huduma kunikomesha cha ajabu anashangaa silii njaa licha ya kunibana miaka yote nane. Mimi toka nimeolewa sijawahi kukanyaga kwa baba yangu mzazi mpaka anasema wewe unataka nikifa ndo nije , nipo dar sijawahi kwenda kusalimia ndugu yoyote yule, mwanaume anakwambia subiri tutaenda tuu. lakini yeye kila siku yupo kwao.
Wew nawe acha uzwazwa kuwa na msimamo
 
Kwahio hapo ni cha maana ni kutokufanya kosa katika Uchaguzi, Kuna Msemo wa Ki Gambia unaosema Mke Mbaya / Mbovu ni kama Jino Bovu..., hakuna jinsi zaidi ya kuliondoa...
Kwenye uchaguzi hapo sasa ndipo kuna kukosea, no woman will come into your life with symbol of true intentions on her face, bahati mbaya merital law ni cruel and trap to men. Ilo jino kuling'oa kuna uwezekano ukaanguka kimaisha kama sio kuanza 0 kabisa.

Trust me bro, hakuna mwanaume anaeingia kwenye ndoa kwa nia mbaya, ni character au undercover mission ya mwanamke ndio inamfanya mwanaume abadilishe gia angani
 
Wew nawe acha uzwazwa kuwa na msimamo
Ndo hali halisi nilijaribu kuongea na kuuliza kwa nini hataki anakasirika cha ajabu ni kwamba kamwambia mtoto wetu ni mdogo eti hataki nitoke kwa sababu nitakutana na wanaume wengine ndo maana kanifungulia biashara za online wakati the fact ni kwamba hizo biashara nilianza mimi mwenyewe kwa kukopa mtaji hajawahi kuweka pesa zaidi ya ahadi na ku take control ya biashara ... kwa hiyo nae akisema hoja zake ndo kama izo na mimi siwezi kubishana eti sio kweli wakati ukweli tunaujua sisi na ndoa ni yetu sisi na mimi ndo nilimua kumsikiliza from the beginning lakini cha ajabu leo kakasirika kakata huduma nyumbani wakati yeye ndiyo bread winner na hakuruhusu nishike pesa
 
Kwenye uchaguzi hapo sasa ndipo kuna kukosea, no woman will come into your life with symbol of true intentions on her face, bahati mbaya merital law ni cruel and trap to men. Ilo jino kuling'oa kuna uwezekano ukaanguka kimaisha kama sio kuanza 0 kabisa.

Trust me bro, hakuna mwanaume anaeingia kwenye ndoa kwa nia mbaya, ni character au undercover mission ya mwanamke ndio inamfanya mwanaume abadilishe gia angani
Kwa kuogopa kujikwaa au sababu sehemu ina mawe mengi na kuacha kutembea unaweza kujikuta unajikosesha raha ya matembezi..., (Unless haupendi kutembea basi na usitembee) ila uwepo wa mawe na kujikwaa usikufanye usitembee wakati unapenda matembezi....

Moral of the story kuishi na watu ni kazi sana.., na ndoa sio lelemama lakini pamoja na yote issue ya pesa na kipato sio tatizo pekee..., Na kwangu mimi binafsi ni bora nimpe mtaji kupunguza kuombwa na kusumbuliwa (kwangu mimi hio ni kero zaidi); kwahio kama anaweza kujituma kwa kumfanya awe independent kwangu ni faida no matter hata akibadilika au kuniacha..., Why ? At least atakuwa ameonyesha her true colors..., Maybe nasema hivi sababu kwangu mimi financial and material things vinachukua nafasi ndogo sana....
 
Wew ni dictator na mbinafsi sijui unaona ukimshirikisha atafaidi wakati kuna wanawake ukiwashirikisha baadhi ya mambo ndio huzidi kuimarika
Badilika
Shida ninyi kina Delila hamuaminiki.
Hususan kizazi kuanzia 1990-2024 looh looh hapana.
 
Kwa kuogopa kujikwaa au sababu sehemu ina mawe mengi na kuacha kutembea unaweza kujikuta unajikosesha raha ya matembezi..., (Unless haupendi kutembea basi na usitembee) ila uwepo wa mawe na kujikwaa usikufanye usitembee wakati unapenda matembezi....

Moral of the story kuishi na watu ni kazi sana.., na ndoa sio lelemama lakini pamoja na yote issue ya pesa na kipato sio tatizo pekee..., Na kwangu mimi binafsi ni bora nimpe mtaji kupunguza kuombwa na kusumbuliwa (kwangu mimi hio ni kero zaidi); kwahio kama anaweza kujituma kwa kumfanya awe independent kwangu ni faida no matter hata akibadilika au kuniacha..., Why ? At least atakuwa ameonyesha her true colors..., Maybe nasema hivi sababu kwangu mimi financial and material things vinachukua nafasi ndogo sana....
Kwa upande wangu bado nasisitiza umuhimu wa kuchukua tahadhari. Dunia imebadilika.
Our women turn into things we don't know, hatuwezi kwenda kwa ku-pretend kila kitu kipo sawa.
 
Aahahha nina ndugu yangu huyu namwamini sana ata leo ikatokea nimeanguka najua familia yangu itakuwa safe
Ukiwepo sawa ila ukifa hujui itakuaje, we huwajui wanadam wanabadilika na mengi, anaweza asibadilike yeye mwenyewe ila mwenza wake akambadilisha.
 
Back
Top Bottom