Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Natoa tip kwa wale ambao hawajaoa au kuolewa usije fanya kosa hili kubwa kwenye maisha yako.
Mpende sana mtu wako na kumheshimu siku zote, love should always be unconditional and not conditional so avoid being submissive to your love yani maana yake usikae na mtu kwa sababu ya status yake so ukaogopa sana kama akikuacha itakuwaje either ni mzuri sana, ana akili sana au ana kipato sana mention any status.
Nimeona vijana wengi sana wanakuwa wanyeyekevu wa wapenzi wao wakihofia kuachwa what will happen next - Acheni undezi
Mpende sana mtu wako na kumheshimu siku zote, love should always be unconditional and not conditional so avoid being submissive to your love yani maana yake usikae na mtu kwa sababu ya status yake so ukaogopa sana kama akikuacha itakuwaje either ni mzuri sana, ana akili sana au ana kipato sana mention any status.
Nimeona vijana wengi sana wanakuwa wanyeyekevu wa wapenzi wao wakihofia kuachwa what will happen next - Acheni undezi