Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
Ukweli ndo huu mtu anakomaa na ww kwamba anakujua so what?
Halafu unakuta mwingine kazi kukufatilia tu humu jf ili kunikera ati haaa mimi sikereki
Hunijui sikujui tumekutana tu hapa jf halafu unakomaa na kudeal na yangu tu na kunidiscus kwenye pm zenu si useme tu face to face?
Mtu anavizia nikilog off anaanzisha mada au post za kuniharibia loooh unafikiri mm level yako?
Tusiforce kufanana wala kujuana
Pambana na hali yako
Halafu unakuta mwingine kazi kukufatilia tu humu jf ili kunikera ati haaa mimi sikereki
Hunijui sikujui tumekutana tu hapa jf halafu unakomaa na kudeal na yangu tu na kunidiscus kwenye pm zenu si useme tu face to face?
Mtu anavizia nikilog off anaanzisha mada au post za kuniharibia loooh unafikiri mm level yako?
Tusiforce kufanana wala kujuana
Pambana na hali yako