Usigawe DNA yako kihuni

Usigawe DNA yako kihuni

Ulitakiwa uwe na mtu wa afya wa émergence. Usiruhusu temporary comfort iue amani ya milele.
Mkuu nursing care hawez ruhusu ulale kwa kifua chake au miguu yake when you need conforty ukwa mgonjwa inshort hi kauli ya"kataa ndoa" it's a scam 😂🙌
 
Mkuu nursing care hawez ruhusu ulale kwa kifua chake au miguu yake when you need conforty ukwa mgonjwa inshort hi kauli ya"kataa ndoa" it's a scam 😂🙌
Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyema
Tatizo mnawadanganya mm huwa wanajua sioi sioi sioii sioii sioi sioi sioii sioii
 
Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyema
Kitendo cha kuzaa nao hyo ni spiritual bond trust me they'll take a good care of you when you are sick if you're taking a good care of em when ur healthy.
 
Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyema
Tatizo mnawadanganya mm huwa wanajua sioi sioi sioii sioii sioi sioi sioii sioii
Mtu mzima unaona fahari kujisifia kwamba wewe ni mzinzi forever. Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom