kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Au mgawie mtu mwenye IQ inayolingana na ya kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia usisahau ushauri mkuu.USIOE KWA GHARAMA YOYOTE
Dah 😂🙌Sio kwamba huwa tunapenda ila huwa tunatumiwa sms kuwa siku hazionekani
Ulitakiwa uwe na mtu wa afya wa émergence. Usiruhusu temporary comfort iue amani ya milele.Mkuu nmeumwa Xmas hii nikahisi nakata roho , ndo nkagundua kua kuoa ni muhimu sana 😂🙌 i disapprove ur argument
Mm bora ife milion kutoa kuliko mateso ya mileleSio kwamba huwa tunapenda ila huwa tunatumiwa sms kuwa siku hazionekani
Mkuu nursing care hawez ruhusu ulale kwa kifua chake au miguu yake when you need conforty ukwa mgonjwa inshort hi kauli ya"kataa ndoa" it's a scam 😂🙌Ulitakiwa uwe na mtu wa afya wa émergence. Usiruhusu temporary comfort iue amani ya milele.
Asa mm nitabaki mdumbAu mgawie mtu mwenye IQ inayolingana na ya kwako.
Ndo tunamaliza mwaka mkuuDuh ila humu JF!![emoji850]
Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyemaMkuu nursing care hawez ruhusu ulale kwa kifua chake au miguu yake when you need conforty ukwa mgonjwa inshort hi kauli ya"kataa ndoa" it's a scam 😂🙌
Kitendo cha kuzaa nao hyo ni spiritual bond trust me they'll take a good care of you when you are sick if you're taking a good care of em when ur healthy.Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyema
Mtu mzima unaona fahari kujisifia kwamba wewe ni mzinzi forever. Inasikitisha sana.Mm huwa naishi kwangu n'a mpishi na msafisha nyumba wa kiume .kwangu naleta kuna mademu wawil 2 n'a wote mezaa nao nkiumwa anakuja mmoja wapo nkipona anasepa n'a wanajuana vyema
Tatizo mnawadanganya mm huwa wanajua sioi sioi sioii sioii sioi sioi sioii sioii
Wanawake great thinker Wapo ila ni wachache sana, lakini kuna hawa wanaoelekea ambao unaweza kuwabadilisha...Wapo ma great thinkers wa kike if you see one make her your number one target! Else you will regrettably live the rest of your life trust me,
Ntaonga hata nyumba if i see one [emoji16]
Thanks for your time to decipher this message.Umeongea kitu kikubwa sana...