Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 675
- 690
CCM walikaa wakathibitisha uamuzi (Nyalandu) na wakamtaarifu Spika with attachments, wao Chadema hawajaambatanisha chochote .....Yaan wanafanya mambo kisekondari kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Makinda alikuwa systematic sana kwenye maamuzi. Kumbuka jinsi alivyomtumia Lissu kwenye suala la ESCROW, mpaka likafika pale lilipofikia. Hawezi kulinganishwa na Ndugai
Waganga wa kienyeji ndiyo mbadalaNdiyo tulizonazo! Je, kuna njia mbadala?
Hakuna njia hapo hata mahakama zimepoteza sifa .mahakimu na wanasheria wamejitoa ufahamu kwa sababu ya njaa na uwogaUnafikiri kuna njia nyingine ipi badala ya Mahakama. Naomba nifahamishe usinitusi.
Wameshikwa pabaya, wewe unamwona hata pascal mayala anasema lolote,Wakijitokeza niambie
Jr[emoji769]