Usiginwaji wa Katiba Bungeni: Watetezi wa Haki za Binadamu nchini walaani. Wawakumbushia umuhimu wa kila raia kuilinda Katiba ya Nchi

Usiginwaji wa Katiba Bungeni: Watetezi wa Haki za Binadamu nchini walaani. Wawakumbushia umuhimu wa kila raia kuilinda Katiba ya Nchi

Kesi ya nyani kula mahindi iende kwa hakimu Ngedere, Mwanadamu ategemee nini!!

Hao wanaosema kesi iende mahakamani wanajua nini kinafuata.

Mwezi November, Mbatia ataenda Bungeni ashinde au ashindwe! Wapinzani wote hakuna atakayerudi Bungeni ashinde au ashindwe.

Juzi kulikuwa na kituko kingine cha Polisi kuamuru Wabunge wakamatwe bila kujua ni kwa kosa gani...

Hawana lolote wanalojadili, bali wanaweka nakshi kwenye bajeti ya serikali.
 
Mi binafsi niwapongeze hao CILAO Kwa kuweza kufuatilia kwa ukaribu na kutuelimidha juu ya haki za kiraia.

Mmewaaeleza waaandishi wavhabari kuwa pamoja na Cecil Mwambe kutangaza kupitia vyombo vya habari Ni wazi atakuwa ameshapoteza uanachama wa chama chake na kupoteza sifa ya kuwa mbunge...
Kama Lipumba aliendelea kuwa mwenyekiti pamoja na kuutangazia ulimwengu kuwa amejiuzulu nafasi yake kama mwenyekiti na kuachana na siasa.

Ipo siku Rais atajiuzuru kwa maana ya kutangaza tu, mkikaribia uchaguzi anarudi kusema yeye bado ni rais.

Hatuwezi kuwa tunapoteza rasilimali kukaa kujadili kauli anayoitoa mtu binafsi mbele ya vyombo rasmi vya habari.

Bunge lenyewe lilishamuita member mwenzetu humu kwa maandiko yake tu. Lilishindwa nini kuamua juu ya kauli ya mtu kujivua uanachama na ubunge wake.

Sent using iphone pro max
 
Spika alidai kuwa barua iliyotoka kwa katibu mkuu, kuwa mbunge amejivua uanachama, haikua na viambatanisho vya ushahidi!

Kama mbunge alijivua kwenye media, inafaa kuwa ni ushahidi?

Je, Katibu mkuu wa chama alikua na uhakika gani kama spika alishinda kwenye mitandao na kuona mbunge aliyejivua?
Pole Shetani, acha kujitoa fahamu

-Kwa Speaker kuna idara/kitengo kinachofuatilia habari na vyombo vya habari vyote hapa nchini na vikubwa duniani. Hahitaji wala hana muda wa kushinda kwenye media yoyote.

-Kupokelewa na kujiunga na CCM maana yake ni kuwa uanachama wake na CDM umeisha na ubunge wake umekoma.

Hapo Speaker wako kachemsha sana, Ila anaweza tu kuja okolewa na mahakama itakayojitoa fahamu
 
Kama amekiuka Katiba si mchukue hatua kuliko kulalamika tu huku mtandaoni. Jamani inakera. Mahakama si zipo.
Mitandaoni ni mahala pa kupeana taarifa kama umekerwa kafie mbele.
 
Akijibu hili nitag
Tunamwomba Mwanasheria Mkuu wa Serikali ajitokeze hadharani atafafanulie inakuwa Lazaro Nyalandu wa Ccm aliweza kupoteza Ubunge wake mara tu alipojiunga na Chadema na inakuwaje Cecil Mwambe wa Chadema aendelee kuwa Mbunge licha ya kujiunga na CCM.Njia aliyoitumia Mh...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema acheni wivu kwa Cecil Mwambe, kajiuzulu kwa mdomo, hakuna maandishi ya documents kama evidence, spika hafanyii kazi mitandao na maneno maneno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hujui hata sheria hizo zinapatikana wapi ndiyo unadhihirisha zaidi umbumbumbu wako.
Unachoambiwa ni kuwa haipo. Wewe si umeiona, unaijua, basi ndio wa kuileta.Hauna jinyamazie upate usingizi.
 
Mkuu naomba nikujulishe kuwa ile tu watu kwenda kufungua mashitaka tayari ni ushindi kwa wahusika maana kwa sasa dunia ni kitongoji.

Tunacho hitaji ni kuweka kumbukumbu sawa maana hii nchi tumeikuta na tutaiwacha kwa wajukuu zetu

In God we Trust
Exactly , let it be documented
 
Yes tunayo, mimi concern yangu ni muda, bunge linavunjwa May 28!
P
Kwa wewe unaona tuna mahakama, lkn kutokana na hukumu za hovyo zilizotolewa na mahakam zetu, ushahidi utakutoa nje. Muda siyo tatizo, kuna prayers ambazo zitaombwa . Moja ni kurusidha hela za Umma maana yeye hana stahili ya kuwa mbunge.

Kutengua uteuzi wake na Ndugai. Mahakama kutamka kuwa that was anti Katiba and therefore null and void ili kesho lisijirudie tena
 
Back
Top Bottom