MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
We we upo hapa chato au upo buyenzi haya wanayo tutendea hawa wakulima huyaoniUtakufa tu wewe kabla hiyo siku unayoitaka ifike! Unafikiri Bunge linafanyakazi kwa kufuata habari za mitandaoni?
Hapo mmepigwa technical knock out! Katibu Mkuu wa CDM hajui anapashwa kumjulisha nani kama Mbunge amekoma kuwa Mwanachama na ni nani anayetangaza kuwa Mbunge amekoma kuwa Mbunge! Hawajui nani anamtangaza Mbunge na nani anafuta au kutangaza kuwa Ubunge wa mbunge umekoma!..Katibu Mkuu wa cdm alimuandikia Spika barua akimweleza kuwa Cecil Mwambe siyo mwanachama wao tena.
..Spika ameikataa barua hiyo akidai haionyeshi kikao walichokaa CDM na kuamua kumfukuza / kumvua uanachama.
..Katibu Mkuu wa cdm amejibu kuwa hakukuwa na haja ya kuitisha kikao au kumuita Cecil Mwambe ktk kikao kwasababu aliamua kwa hiyari yake kuachana na CDM na kujiunga na CCM.
..Cecil Mwambe baada ya kusikia kuwa ameitwa na Spika, amesisitiza kuwa yeye ni mwana-CCM, lakini ameeleza kuwa ataitikia wito wa kwenda bungeni.
Sema wanasaccos hawajui sheria. Hebu niambie nani anayemtangaza mtu kuwa mbunge? Na nani anamtangaza mbunge fulani si mbunge tena?Hii ni dharau kubwa sana kwa Watanzania.
Ni maajabu.
Pambana na hali yako!Kwani
We we upo hapa chato au upo buyenzi haya wanayo tutendea hawa wakulima huyaoni
Hapo mmepigwa technical knock out! Katibu Mkuu wa CDM hajui anapashwa kumjulisha nani kama Mbunge amekoma kuwa Mwanachama na ni nani anayetangaza kuwa Mbunge amekoma kuwa Mbunge! Hawajui nani anamtangaza Mbunge na nani anafuta au kutangaza kuwa Ubunge wa mbunge umekoma!
Nyinyi mtakuwa mnapigwa knock out kila mara kwa kuwa ni mbumbumbu wa sheria!..Cecil Mwambe anajua yeye siyo mwanachama wa CDM na ndiyo maana aliacha kuhudhuria vikao vya bunge.
Wakiita nchi zenye muhimili wa mahakama duniani Tz, unaweza iweka?!!! Acha utani bwana!!!!!!! Ndio maana wazungu huwa wanatuona miafrika kama nyani tu! Kuanzia watawala hadi watawaliwa!!! Kinachofanyika kwa sasa ni aibu,Kama amekiuka Katiba si mchukue hatua kuliko kulalamika tu huku mtandaoni. Jamani inakera. Mahakama si zipo.
Hapo mmepigwa technical knock out! Katibu Mkuu wa CDM hajui anapashwa kumjulisha nani kama Mbunge amekoma kuwa Mwanachama na ni nani anayetangaza kuwa Mbunge amekoma kuwa Mbunge! Hawajui nani anamtangaza Mbunge na nani anafuta au kutangaza kuwa Ubunge wa mbunge umekoma!
1. Mwigulu Lameck Madelu NchembaKuna wengine wanatumia ya wengine.
Kesi ya nyani kula mahindi iende kwa hakimu Ngedere, Mwanadamu ategemee nini!!Anayemuagiza spika kusigina katiba ya nchi, ndio anayemlipa jaji mkuu.
Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha standard gauge, CAG alivyoliita bunge dhaifu na limeshikiwa akili na jiwe je aliandika barua kwa maandishi akamplekea ndugali au aliongea tu knyn chombo cha habari? Mbona alimwita sasa ajieleze kama hafanyii kazi habari za media?Bunge haliendeshwi kwa kufuata habari iliyotolewa kwenye vyombo vya habari. Kama Chadema hawakupeleka taarifa za kukoma kwa uanachama wake kwa Spika na Mkurugenzi wa Uchaguzi ili nafasi ya Ubunge itangazwe kuwa iko wapi mmeliwa. Chadema wengi ni mbumbumbu kweli wa kila kitu wamebaki na mapovu tuuu!!!
nadhani Ndugai alipoenda kutibiwa aliambiwa na na idadi ya siku zake zilizosalia , kwa sababu haiwezekani mtu anayetarajia kuishi miaka kadhaa afanye madudu kama anayofanya Ndugai .Haya mambo mwalimu NYERERE, aliyaona sana, ndio maana akasema binadamu anaweza akajifanya MUNGU mtu, na ndio kinachotokea na hiyo ni spika tu chanzo ni radio ipo sehemu nyingine kijijini imetulia, mambo yanaendeshwa kama mpira wa makaratasi?!!!
Nakumbuka yale maneno ya miaka mingi.BUNGE NI DHAIFU.Ina maana wabunge wetu hawalioni hili wailinde katiba wanayoitumia kila siku wamkemee bosi wao.Roving Journalist,
Ndugai ni spika hovyooo kabisa hajawahi kutokea katika historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Soma vizuri,hapo juu,wanasema katibu mkuu ambaye ni msemaji mkuu wa chama alitoa taarifa kwa spika,kwa maandishi.Jamani mnataka nini tena,tusibishe tu kesho atatokea mwingine,ref,itatumika hii ya spika.Kwa nini una macho na masikio , unasikia,unaona unajifanya husikii na wala huoni.Subirini kuna siku itakuwa hivyo ghafla.Mungu hadhihakiwi,apandacha mtu ndicho atakachovuna.Wanasheria wa Tanzania mko wapi tualumbana huku, tupeni ufafanuziBunge haliendeshwi kwa kufuata habari iliyotolewa kwenye vyombo vya habari. Kama Chadema hawakupeleka taarifa za kukoma kwa uanachama wake kwa Spika na Mkurugenzi wa Uchaguzi ili nafasi ya Ubunge itangazwe kuwa iko wapi mmeliwa. Chadema wengi ni mbumbumbu kweli wa kila kitu wamebaki na mapovu tuuu!!!
Matusi ya nini ndugu yangu! Waachie wataalam wa sheria na katiba walifanyie kazi. Kama ni swala la ukimbizi ni wewe ambaye hata Kiswahili hujui. Pole.Wewe shenzhi ni mkimbizi?