Patandi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 420
- 397
Hapo sawa!!!Hata kama upo kijijini patandi meru kusikufanye ushindwe kuelewa kwamba tayari CILAO wanakusudia kulipeleka hilo suala mahakamani ati. Walichofanya ni press release.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa!!!Hata kama upo kijijini patandi meru kusikufanye ushindwe kuelewa kwamba tayari CILAO wanakusudia kulipeleka hilo suala mahakamani ati. Walichofanya ni press release.
Wewe ni mpuuzi moja . Huyu Mwambe si alijiuzulu mbele yake yeye spike ?! Na bado Cdm wakamwandikia baruaRoving Journalist,
Wajulisheni kuwa Bunge haliendeshwi kwa kusikiliza vyombo vya habari vimetangaza nini kama Chadema hawakumjulisha Spika kuwa huyo mbunge uanachama wake wa Chadema umekoma basi Spika hawezi chukua maamuzi yoyote. Chadema inaupungufu sana kwenye mambo ya administrative. Hii ni sawa na issue ya Lissu eti utetezi wao ulikuwa eti Spika anajua kwa sababu vyombo vya habari vinatangaza alipo. Hawa nao sheria hawaijui au wanataka wawaonyeshe wafadhiri wao kuwa wanafanyakazi.
Wewe mjaluo usinisumbue kwa umbumbumbu wako. Kasome sheria ya uchaguzi na bunge ndiyo utajua nina maana gani acha mapovu ya wanasaccos.Wewe ni mpuuzi moja . Huyu Mwambe si alijiuzulu mbele yake yeye spike ?! Na bado Cdm wakamwandikia barua
Odhis *
Kumbuka bila chama hakuna mbunge........
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio chama, hivyo tulieni...
Vipi kuhusu Mheshimiwa Selasini Mbunge wa Rombo aliyetangaza hadharani kujivua uwanachama wa Chadema na kuhamia NCCR-Mageuzi na bado anaendelea na ubunge?.
Yaani Chadema inatangaza kwamba Wabunge wake waliohamia NCCR Mageuzi wataendelea na Ubunge lakini aliyehamia CCM avuliwe, hii ni akili?
Nakumbuka vizuri kwamba, Spika alihitaji Muhtasari wa Kikao cha chama cha CHADEMA kuhusu kumuondolea Mwambe Ubunge. Lakini Chadema waliwasilisha barua pekee pasipo viambatanisho.
Civil Society msitumike kama mawakala wa Mabeberu na Vyama vya upinzani, teteeni Haki za Kiraia zenye tija kwa wananchi na Taifa.
Lengo lenu ni kuikomoa CCM, Kumkomoa mbunge au Wananchi wa Rombo wasipate mwakilishi katika bunge la bajeti?.
Ikumbukwe kwamba, Mheshimiwa Zitto, wakati amezuliwa uwanacha na Chadema, bado aliendelea na ubunge, Mbona hamkuazimia kumshtaki spika wala mahakama?.
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi sio chama, hivyo tulieni
Hopeless ass!Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha standard gauge, CAG alivyoliita bunge dhaifu na limeshikiwa akili na jiwe je aliandika barua kwa maandishi akamplekea ndugali au aliongea tu knyn chombo cha habari? Mbona alimwita sasa ajieleze kama hafanyii kazi habari za media?
Hopeless comment ever!!Nakumbuka yale maneno ya miaka mingi.BUNGE NI DHAIFU.Ina maana wabunge wetu hawalioni hili wailinde katiba wanayoitumia kila siku wamkemee bosi wao.
Solution ni kukataa huu ujinga , tatizo bongo bado Kuna ng'ombe wengi SanaHaya mambo mwalimu NYERERE, aliyaona sana, ndio maana akasema binadamu anaweza akajifanya MUNGU mtu, na ndio kinachotokea na hiyo ni spika tu chanzo ni radio ipo sehemu nyingine kijijini imetulia, mambo yanaendeshwa kama mpira wa makaratasi?
AMENVizuri kabisa hili jambo lote limefanywa kuwaumiza cdm, mnazidi, kuna ugomvi upi, kuna iadui upi hasa ambao chadema wameufanya mpk mnatengenezaga magomvi haya yote.
Kuwa shambulia kuwavunja mikono kuwaua serikali inatakiwa iwaeleze waTZ hao chadema wamefanya ubaya upi.
Kutwa kucha kuwazuia kufanya siasa, kuwashambulia maofisini mwao Mameya wao kuondolewa, madiwani wao. Haya basi muwamalize kuwaangamiza hao chadema wakija vyama vingine kuchukua madaraka mtapenda kufanyiwa hivyo????
Mnaona raha ipo siku yatawageukia, MUNGU awalinde CHADEMA na kuwapa ujasiri wa KUFANYA SIASA ZA UPINZANI KWA AMANI. MUNGU ALIE HAI AISHIE MILELE ASHUGULIKE NAO WATU WAISHIO KWA HIRA NA UCHOKOZI
Nnaunga mkono hoja hii.
Sent using Jamii Forums mobile app