USIHADAIKE: Hakuna uchawi wa kumfanya mtu akulipe deni

USIHADAIKE: Hakuna uchawi wa kumfanya mtu akulipe deni

Humu mitandaoni watu wanapigwa sana. Kuna madalali humu wamejaa shuhuda za kutunga na zinavutia sana!

Kama kungekuwa na huu ushirikina wa kumfanya mtu akulipe mahakama kusingefurika kesi za madai. Ama mahakama zetu zingekuwa na afueni kubwa sana.

Sikiliza nikwambie kuna uchawi moderate tu tena wa kumfanya mtu akopesheke hata kama ananuka madeni na ukishampa pesa yako kumdai unaogopa. Hawa ndio maisha yao japo nao pesa wanayopata hawaifanyii chochote cha maana wanaishia kustarehe na kufanya mambo mengine ya kipuuzi kabisa.

Kuna makabila hutajwa kuwa ni kiboko ya wadeni, yani hao ukiwakopa tafadhali lipa, la sivyo litakupata la kukupata. Lakini nao uwezo wao ni kukuharibu na kukuumiza tu lakini sio kukufanya ulipe.

Kuna njia tano za kushughulika na mdeni sugu:

1. Kama una ushahidi wa maandishi fuata mkondo wa sheria. Lakini makinika deni lisiwe na riba kwakuwa sheria haitambui riba binafsi kama huna leseni ya kufanya biashara ya kukopesha
2. Pata mganga mwenye uwezo wa kumuangamiza. Njia rahisi zaidi ni kuua..ishu za kumpiga vimavi zina michakato mirefu
3. Malizana naye kihuni. Tafuta genge la wana wenye shughuli zao. Wape kazi wakamalizane naye kibingwa. Tit for tat is a fair deal!
4. Mwachie Mungu akupiganie. Kama ni mwamini lakini. Yeye ndio mkuu wa yote atatenda kwa wakati wake.
5. Samehe na sahau uiachie karma ifanye kazi yake! Pambana usimame tena..lakini ukiwa umepata funzo kwa njia ngumu

Usihangaike kutafuta mganga atakayemfanya mdeni/wadeni wako wakulipe. Kumbuka wakati unamtafuta mganga wa kumfanya mdeni akulipe , mdeni naye wakati huo huo anatafuta mganga amsaidie usimdai au usahau deni. Mbaya zaidi mnaweza kumtumia mganga mmoja bila kujijua wote.

Ukipigwa na waganga wa kienyeji kwenye ishu za madeni usije ukalalama hasa kama utakuwa umepitia huu uzi. Kumpeleka mdeni kwa mganga akulipe ni sawa na kupigwa mara mbili. Unaneemesha wezi wawili kwa wakati mmoja na kama kati yao kuna dalali kakutambulisha unaongeza wigo wa kupoteza.

NB: Kuna watu wana ukarimu wa kiMungu, hawajui kumnyima mtu kama wanacho na kuna watu nyuso zimeumbwa bila haya.

Kakukopa hajakulipa lakini bado anakurudia akihitaji msaada wako tena na tena. Lakini sote sie ni waja wa Mola wetu. Yeye ndie ajuaye zaidi yetu sote.
Safi sana...
Naona hapo ni kusamehe na kusonga mbele, tumuachie muumba sisi wenye imani, ila tatizo laja tena kama ulivyodai, huruma kaka huruma, kuna wengine waja waona kabisa usiposaidia hata kidogo, hutalala usingizi nyumbani! Ni shida kabisa...
 
Safi sana...
Naona hapo ni kusamehe na kusonga mbele, tumuachie muumba sisi wenye imani, ila tatizo laja tena kama ulivyodai, huruma kaka huruma, kuna wengine waja waona kabisa usiposaidia hata kidogo, hutalala usingizi nyumbani! Ni shida kabisa...
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Safi sana...
Naona hapo ni kusamehe na kusonga mbele, tumuachie muumba sisi wenye imani, ila tatizo laja tena kama ulivyodai, huruma kaka huruma, kuna wengine waja waona kabisa usiposaidia hata kidogo, hutalala usingizi nyumbani! Ni shida kabisa...
Kabisa ni kumuachia Mungu yote.

Ila kuna ambao wakimwachia Mungu,aliyekuwa anadaiwa imekula kwake.
 
Mimi purukushani za kudaiana madeni zimenishinda siku nyingi sana........nimepunguza tu kiwango cha kuwasaidia watu na nikilazimika kumkopesha basi ni kiwango ambacho nitamudu kukivumilia kukipoteza.......akinilipa sawa....asiponilipa sawa........

Wema wangu umenijengea maadui wengi badala ya marafiki............
 
Mimi purukushani za kudaiana madeni zimenishinda siku nyingi sana........nimepunguza tu kiwango cha kuwasaidia watu na nikilazimika kumkopesha basi ni kiwango ambacho nitamudu kukivumilia kukipoteza.......akinilipa sawa....asiponilipa sawa........

Wema wangu umenijengea maadui wengi badala ya marafiki............
Wanasema ukitaka ubaya(uonekane mbaya) dai chako
 
Humu mitandaoni watu wanapigwa sana. Kuna madalali humu wamejaa shuhuda za kutunga na zinavutia sana!

Kama kungekuwa na huu ushirikina wa kumfanya mtu akulipe mahakama kusingefurika kesi za madai. Ama mahakama zetu zingekuwa na afueni kubwa sana.

Sikiliza nikwambie kuna uchawi moderate tu tena wa kumfanya mtu akopesheke hata kama ananuka madeni na ukishampa pesa yako kumdai unaogopa. Hawa ndio maisha yao japo nao pesa wanayopata hawaifanyii chochote cha maana wanaishia kustarehe na kufanya mambo mengine ya kipuuzi kabisa.

Kuna makabila hutajwa kuwa ni kiboko ya wadeni, yani hao ukiwakopa tafadhali lipa, la sivyo litakupata la kukupata. Lakini nao uwezo wao ni kukuharibu na kukuumiza tu lakini sio kukufanya ulipe.

Kuna njia tano za kushughulika na mdeni sugu:

1. Kama una ushahidi wa maandishi fuata mkondo wa sheria. Lakini makinika deni lisiwe na riba kwakuwa sheria haitambui riba binafsi kama huna leseni ya kufanya biashara ya kukopesha
2. Pata mganga mwenye uwezo wa kumuangamiza. Njia rahisi zaidi ni kuua..ishu za kumpiga vimavi zina michakato mirefu
3. Malizana naye kihuni. Tafuta genge la wana wenye shughuli zao. Wape kazi wakamalizane naye kibingwa. Tit for tat is a fair deal!
4. Mwachie Mungu akupiganie. Kama ni mwamini lakini. Yeye ndio mkuu wa yote atatenda kwa wakati wake.
5. Samehe na sahau uiachie karma ifanye kazi yake! Pambana usimame tena..lakini ukiwa umepata funzo kwa njia ngumu

Usihangaike kutafuta mganga atakayemfanya mdeni/wadeni wako wakulipe. Kumbuka wakati unamtafuta mganga wa kumfanya mdeni akulipe , mdeni naye wakati huo huo anatafuta mganga amsaidie usimdai au usahau deni. Mbaya zaidi mnaweza kumtumia mganga mmoja bila kujijua wote.

Ukipigwa na waganga wa kienyeji kwenye ishu za madeni usije ukalalama hasa kama utakuwa umepitia huu uzi. Kumpeleka mdeni kwa mganga akulipe ni sawa na kupigwa mara mbili. Unaneemesha wezi wawili kwa wakati mmoja na kama kati yao kuna dalali kakutambulisha unaongeza wigo wa kupoteza.

NB: Kuna watu wana ukarimu wa kiMungu, hawajui kumnyima mtu kama wanacho na kuna watu nyuso zimeumbwa bila haya.

Kakukopa hajakulipa lakini bado anakurudia akihitaji msaada wako tena na tena. Lakini sote sie ni waja wa Mola wetu. Yeye ndie ajuaye zaidi yetu sote.
Na aliyenitapeli milioni zangu nimfanyeje mkuu?
 
Ukiweza mkate pumzi asipumue tena.. Ukiweza Laini
Mkuu mshana heshima yako,huu Uzi nimeusoma hapa nikiwa natokea mahakamani,(ishu ni deni).inauma sana asikwambie MTU,nilicho jifunza ni kua sitakua mwepesi tena kukopesha MTU pesa(anae nisumbua ni MTU tunaheshimiana sana na ni MTU wa kalibu ).ngoja niishie hapa.
 
Mkuu mshana heshima yako,huu Uzi nimeusoma hapa nikiwa natokea mahakamani,(ishu ni deni).inauma sana asikwambie MTU,nilicho jifunza ni kua sitakua mwepesi tena kukopesha MTU pesa(anae nisumbua ni MTU tunaheshimiana sana na ni MTU wa kalibu ).ngoja niishie hapa.
Mungu wangu pole sana sana.. Kesi imefikia wapi?
 
daaaaah inavoonekana naelekea kupoteza pambano
Yeah kwakuwa pengine hukumkopesha kwa mkataba ama maandishi yanayoeleweka na hata akikubali kukulipa anaweza kutaja kiasi kidogo sana na kwa kila mwezi
Na mbaya zaidi sheria inamruhusu kulipa kidogo kidogo
 
Yeah kwakuwa pengine hukumkopesha kwa mkataba ama maandishi yanayoeleweka na hata akikubali kukulipa anaweza kutaja kiasi kidogo sana na kwa kila mwezi
Na mbaya zaidi sheria inamruhusu kulipa kidogo kidogo
Mkuu samahani nje ya mada,kuna inishu uliwahi ongea kuhusu mtu kua anaota ndoto yupo shule ya msingi,anafanya mtihani,wakat Alisha maliza shule ya msingi kitambo.naomba kama unaweza unipe maelekezo zaidi.PM tafadhari
 
Mkuu samahani nje ya mada,kuna inishu uliwahi ongea kuhusu mtu kua anaota ndoto yupo shule ya msingi,anafanya mtihani,wakat Alisha maliza shule ya msingi kitambo.naomba kama unaweza unipe maelekezo zaidi.PM tafadhari
Takucheki usijali
 
Unazunguka sana, dawa ya kukopesha ni kumiliki mali ya thamani zaidi ya mkopo kutoka kwa mkopaji na asiporudisha ndani ya muda mliokubaliana, mali unachukua moja kwa moja.
Umesema ukweli Leta kitu cha thamani nikukopeshe hakuna cha ziada.
 
Kwenye madeni mtu ukijichanganya kwa waganga lazima upigwe tu.

Ila kuna mambo mengine wengine huwa hatupendi kutoa confession ngoja nitulie sitaki comments za kuitwa tapeli.
Toa ushuhuda mkuu.
 
Back
Top Bottom