USIIGE: Kila Mtu ana mwendo wake barabarani na sababu zake

USIIGE: Kila Mtu ana mwendo wake barabarani na sababu zake

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,
Abiria,
Waenda kwa miguu,
Magari,
Na uharibifu wa mali.

Kuna Watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio Polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa
.Madereva
. Abiria
.Waenda kwa miguu
. magari
. Na uharibifu wa mali
Kuna watu leo hii ni marehemu wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi
Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwasababu ya hizi ligi
Hasara ni nyingi.. Na madhara ni mengi pia
Lakini je ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini?
Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio
Sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali
Sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali

Katika maisha yao yote wamekimbia lakini hawana walichotuzidi.. Labda ajali.. Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi.. Labda fumanizi!

Barabarani nenda mwendo wako.! Usiige usifanye ligi za bure .. Hazina mwamuzi hazina kombe
Unayefanya naye ligi
.Hujui uzima wa gari yake
.Hujui uzima wa tairi zake
.Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli
.Hujui changamoto zake kwenye maisha.. Sasa unashindana naye ili iweje..!

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida.. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani .. Wakeup hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi..!

Jioni njema Tanganyika❤
umenena vyema mkuu,washwahili wanasema KAWIA UFIKE.
Nikisikiliza ripoti za ajali za barabarani mara nyingi chanzo kikuu cha ajali za barabarani ni 1)ku overtake bila kuchukua tahadhari na 2)mwendo wa kasi kubwa,lakini na madereva wa magari ya serikali ,madereva wa gari za umma dala dala,maafisa usafirishaji boda,n.k nao wajitahidi kuacha fujo barabarani.
 
NAKAZIA naunga mkono hoja
Usishindane na mtu,kadhalika barabarani usishindane .
 

Attachments

  • Screenshot_20241026-185955.jpg
    Screenshot_20241026-185955.jpg
    73.8 KB · Views: 5
Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida.. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani .. Wakeup hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi..!
Ushauri mzuri sio rahisi kuupata na hata ukiupata huwa vigumu sana kuufuata, hasa kwa Mswahili -aliimba fidQ.

Mkuu Mshana Jr , kizazi cha sasa kimejikita sana kwenye kutaka mazingira ndio yawafundishe, Ile dhana ya kujifunza kupitia wengine imekuwa ngumu sana kuingia vichwani mwao wakiamini wao ni Special, wengine wanaona yule alipata ajali kwavile ana Toyota ila yeye na Benz/VW hawezi pata. Mwingine anaona kwakuwa mwaka jana alikimbiza hakupata ajali so na mwaka huu hawezi pata na kuna MALOFA zaidi wao husema "Mimi hata nikilewa gari naendesha Fresh".

Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru Ujinga wake. Maisha ni yako ila mazishi ni yetu.

Naunga Mkono hoja.
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Ujumbe wenye baraka tele KABISA huu.
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Tatizo mtu anahisi akipitwa barabarani amedharauliwa mathalani ukute mtu anaendesha BMW halafu apitwe na ka IST anaona kadharauliwa anaanzisha ligi bila kujua kila mtu anaratiba zake
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Well
 
Back
Top Bottom