USIIGE: Kila Mtu ana mwendo wake barabarani na sababu zake

USIIGE: Kila Mtu ana mwendo wake barabarani na sababu zake

Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
🙋‍♂️✍️📝🎯💯%👌👍👊👏🤝🙏💐🎁🗼🎖️🏆👑🛡️
 
Ni kweli mkuu Mshana Jr hasa hawa vijana wa bodaboda wanakuwa wana wenge sana, nakumbuka kipindi fulani nilikuwa naenda Zanzibar ile nimechukua boda maeneo ya Sinza tena saa 12 asbh boat ilikuwa inaondoka saa 1 asbh, boda nikamwambia nawahi bandarini mwanangu twende chap aisee alikuwa anaendesha rafu mpaka nikamwambia taratibu kijana hakuelewa tulipofika Shekilango ikabidi nishuke nikampa hela yake.

Nikapanda boda nyingine aisee sijui alikuwa amepigiwa simu na abiria alitupita kwa kasi sana ile tunafika Tip top tulimkuta kaingia uvunguni mwa roli la mafuta. Nyama za mwili zimetawanyika na uhai alipoteza yule dereva.

Kimsingi Madereva wengi wa Tanganyika hawana adabu na barabara.
 
Mtu mmoja alifariki dunia kila baada ya saa tano na dakika 40 mwaka 2022 kutokana na ajali za barabarani, ikilinganishwa na kifo kimoja kila baada ya saa 6 na dakika 24 mwaka mmoja kabla.

Takwimu za Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani zilizochapishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), kwenye ripoti ya Tanzania in Figure 2022 jumla ya watu 1,545 walikufa kutokana na ajali 1,720 za barabarani.
 
Ni kweli mkuu Mshana Jr hasa hawa vijana wa bodaboda wanakuwa wana wenge sana, nakumbuka kipindi fulani nilikuwa naenda Zanzibar ile nimechukua boda maeneo ya Sinza tena saa 12 asbh boat ilikuwa inaondoka saa 1 asbh, boda nikamwambia nawahi bandarini mwanangu twende chap aisee alikuwa anaendesha rafu mpaka nikamwambia taratibu kijana hakuelewa tulipofika Shekilango ikabidi nishuke nikampa hela yake.

Nikapanda boda nyingine aisee sijui alikuwa amepigiwa simu na abiria alitupita kwa kasi sana ile tunafika Tip top tulimkuta kaingia uvunguni mwa roli la mafuta. Nyama za mwili zimetawanyika na uhai alipoteza yule dereva.

Kimsingi Madereva wengi wa Tanganyika hawana adabu na barabara.
Ni Mungu tu alikunusuru
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Ahsante sana kwa tahadhari ya msingi kabisa, na ni mojawapo ya kinga ya ajali.
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Usinipite kwa dharau mkuu nakuamshia dude
 
Tatizo mtu anahisi akipitwa barabarani amedharauliwa mathalani ukute mtu anaendesha BMW halafu apitwe na ka IST anaona kadharauliwa anaanzisha ligi bila kujua kila mtu anaratiba zake
Ila ndio ukweli ya IST amchape BMW ni dharau kubwa mno na inabidi kuwe na sheria mpya barabaran ni "marufuku IST,vitz,paso,sienta,fun cargo na bebi walker zote kuipita BWM,Range,V8 n.k popote pale barabarani vinginevyo fine inahusika"
 
Naona leo kila mtu hapa hapendi ligi. Yaani unipite kwa mbwembwe mara uniwashie taa,unipigie honi aaah nitakuonesha kidogo nguvu ya GTi 🤣🤣🤣
Cc Extrovert
ISO M.CodD
Iko hivi,

Naweza kuwa niko mdogo mdogo sina haraka, ila ukinipita ukanikosea adabu, huku najua gari yangu inakumudu, sitakubali.

Nitakufuata, nitakukata kwa dharau (mfano pale umetoka ku-overtake umerudi kushoto mimi napita kulia) halafu nitaenda mbele out of your sight, nita slow down nikusubiri.

Utakaponifikia, nitafyatuka nikupige gap tena just to show you kwamba sijakubahatisha - huniwezi. Wazungu wanakuambia "we can do this all day".

Halafu ukinifikia tena - utakuja kwa adabu bila shaka - nitakuwashia indiketa upite na kukupigia kahoni ka kukutakia safari njema. Kisha nitaendelea na mwendo wangu ukionikuta nao.

Kama sikumudu, au nikijaribu kukufukuza nikaona sikumudu, nitaiheshimu gari unayoiendesha permanently, nita bow down kwa heshima.

Tunachofanya ni kutengeneza hierarchy. Hi ni natural process isiyozuilika popote penye wanaume lazima hierarchy iwe established and respected.
 
Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa:

Madereva,

Abiria,

Waenda kwa miguu,

Magari,

Na uharibifu wa mali.


Kuna watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa asilimia mia kwa sababu ya hizi ligi. Hasara ni nyingi, na madhara ni mengi pia.

Lakini je, ulishawahi kujiuliza hao wanaokimbia sana barabarani wanakimbilia nini? Wanawahi nini? Wao sio polisi kwamba wanawahi eneo la tukio; sio fire kwamba wanawahi kuzima moto mahali; sio ambulance kwamba wanawahi kuokoa uhai mahali.

Katika maisha yao yote wamekimbia, lakini hawana walichotuzidi... labda ajali! Walikowahi hawakupata kikubwa zaidi... labda fumanizi!

Barabarani, nenda mwendo wako. Usiige, usifanye ligi za bure. Hazina mwamuzi, hazina kombe.

Unayefanya naye ligi:

Hujui uzima wa gari yake,

Hujui uzima wa tairi zake,

Hujui umahiri wake kwenye usukani na pedeli,

Hujui changamoto zake kwenye maisha.

Sasa unashindana naye ili iweje?

Maisha yako ni muhimu zaidi ya ligi zisizo na faida. Una wapendwa wanakusubiri nyumbani. Wafikirie hao kwanza kabla hujaamua kukoleza mwendo ili kuonesha ushujaa usio na pongezi.

Jioni njema, Tanganyika!
Kaka umekandwa nini na x3 yako ile 😆😆😆
 
Twende mbele turudi nyuma, tuweke ushabiki pembeni. Ligi za barabarani ni UTOTO uliochanganyikana na USHAMBA na ULIMBUKENI.

Hakuna faida yoyote utakayopata kwa kufanya ligi barabarani, zaidi ya kuhatarisha maisha yako na ya watu wengine wasio na hatia.

Suala la kwamba unataka kuonyesha watu kwamba gari yako ina nguvu, kwani wewe ni promoter wa magari? Unalipwa? Yaani upo tayari kufa/kuua watu ilimradi uonyeshe kwamba MJERUMANI ni bora kuliko MJAPANI? So what?

Tufike mahali tuache huu UPUMBAVU. Kama kweli unataka kuonyesha watu kwamba wewe una mbio, join the MARATHON tukuone sasa utavyowakata watu.
 
😂😂😂 Kama chuma YAKO unaiamini hakuna noma kabisa
Mkuu, hakuna chuma yoyote inayoaminika. Ukichunguza katika hizo ajali 1700 utakuta hizo chuma zote unazoziamini nazo zimo ndani. Chuma ni chuma tuu!

Unaweza ukawa upo na chuma yako unayoiamini, uko spidi 160. Kirikuu tu kikiingia barabarani ghafla, au mtu wa baiskeli kayumba kidogo. Kitendo cha kumkwepa utashangaa hiyo chuma yako unayoiamini jinsi itakavyogeuka BLENDER watu wanakuja kuokota minced meat.
 
IMG-20241028-WA0039.jpg
 
Back
Top Bottom