usiipite thread hii tafadhali nisaidie


Labda certificate ya journalism pale ubungo au ilala
 
hongera sana kwa sababu hujakata tamaa na kusoma nakushaur usubiri matokeo mapya yatoke naamini hautakuwa hapo na pia unaweza kupangiwa shule ya advance ukiona mambo hayaja badilika nenda TIA ila kama unapenda kusomea mambo ya mahesabu pale hukosi nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…