Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 448
Ebwana kama upo mkoani unafanya kazi au biashara unapata average income usijaribu kuwaza kuja jijini DAR, kwa sababu huko mkoani usafiri, hali ya hewa, usalama viko vizuri sana.
Kama uko Mbeya, Iringa, tulia usafiri wa mbeya ni rahisi na magari ni mazuri sana, hali ya hewa shwari, nyumba za kupanga kibao, vyakula ndio nyumbaani haswaa
Kama upo Dodoma endelea kuenjoy utulivu wa nchi, hakuna jam na hali ya hewa ni favourable, makazi ni ghali kidogo lakini hakuna kero kumetulia.
Kama upo lindi, Mtwara kula upepo wa bahari, usafiri buku unapanda boda mpaka unaacha, vyakula si sana lakini kuna utulivu na hali ya hewa safi.
Morogoro, Tanga, Arusha, Moshi hali ya hewa ni shwari chakula cha kutosha, utulivu wa hali ya juu na maisha yanasonga vizuri.
Shida ni jiji la DAR hapa ndugu yangu Mvua ikinyesha siku 2 mawasiliano ya kinondoni na ilala yanakata kabisaa, kama unaishi ilala upo kinondoni tafuta lodge ulale maana salendar hupiti na mkwajuni hupit.
Joto ndio usiseme babu, huko mkoani unalala bila feni na madirisha closed huku ni tofauti unafungua madirisha yote na feni unalala nayo hata wakati wa kula gemu majirani lazima wachabo,dala dala kufika mjini nako kero utakaa kwenye foleni mpaka utakuta kuijua dar na muda wa kurudi hivyo hivyo.
Huku huwezi kuamua sehemu ya kupanga nyumba kama bajeti yako ndogo uswahilini, uchafu ndio usiseme jiji chafu balaa, usalama ndio haupo kabisa wezi, wahuni, wadangaji kama wote najua hata nikoani vitu hivi vipo ila huku ni chuo kikuu
Kama uko Mbeya, Iringa, tulia usafiri wa mbeya ni rahisi na magari ni mazuri sana, hali ya hewa shwari, nyumba za kupanga kibao, vyakula ndio nyumbaani haswaa
Kama upo Dodoma endelea kuenjoy utulivu wa nchi, hakuna jam na hali ya hewa ni favourable, makazi ni ghali kidogo lakini hakuna kero kumetulia.
Kama upo lindi, Mtwara kula upepo wa bahari, usafiri buku unapanda boda mpaka unaacha, vyakula si sana lakini kuna utulivu na hali ya hewa safi.
Morogoro, Tanga, Arusha, Moshi hali ya hewa ni shwari chakula cha kutosha, utulivu wa hali ya juu na maisha yanasonga vizuri.
Shida ni jiji la DAR hapa ndugu yangu Mvua ikinyesha siku 2 mawasiliano ya kinondoni na ilala yanakata kabisaa, kama unaishi ilala upo kinondoni tafuta lodge ulale maana salendar hupiti na mkwajuni hupit.
Joto ndio usiseme babu, huko mkoani unalala bila feni na madirisha closed huku ni tofauti unafungua madirisha yote na feni unalala nayo hata wakati wa kula gemu majirani lazima wachabo,dala dala kufika mjini nako kero utakaa kwenye foleni mpaka utakuta kuijua dar na muda wa kurudi hivyo hivyo.
Huku huwezi kuamua sehemu ya kupanga nyumba kama bajeti yako ndogo uswahilini, uchafu ndio usiseme jiji chafu balaa, usalama ndio haupo kabisa wezi, wahuni, wadangaji kama wote najua hata nikoani vitu hivi vipo ila huku ni chuo kikuu