reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji23][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inakuwaje sasa waliolazimishwa na mwendazake kwenda dom wanamlaani mpka kesho?
Inakuwaje sasa ikifika tu ijumaa mchana mabasi yote ya dom daf yanajaa, ndege zinajaa, mashangingi yanashindana tu mibio kuwahi dar?
Halafu mbona mabalozi wa nchi zoote wamegoma kuhama hapa kwenhe jiji unaloita la mashetani ingawa walipewa viwanja huko dom?
Nasiku hzi matamko yote ya nchi yanatokea jumba jeupe pale magogoni karibia na bahari inayonuka.
WACHA WIVU SEMA UNAJILIWAZA KISA UMEHAMISHIWA DODOMA AMBAPO WATU WOOOTE ETI MNAKUTANAGA BAMBALAGA [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app