Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Chelewachlwa Ukute Mwana sio wako😄
 
Acha Uongo..! Kuzuia Manii hakusababishi unayosema, hata mm hufanya hivyo....!
 
Acha Uongo..! Kuzuia Manii hakusababishi unayosema, hata mm hufanya hivyo....!
zuia wakati unaenda kumaliza ulete majibu utakuja kuzima shauli yako!
 
Hilo NI shinikizo la damu, Acha kutumia vyakula vyenye mafuta mengi na jaribu kufanya mazoezi angalau mara 2 kwa wiki
Nina uhakika Una unene uliopitiliza
 
Eti halina reverse😄😄..
 
Wenzetu Kenya wamevunja Baraza la Mawaziri kupinga miswaada ya ajabu ajabu na wizi wa rasirimali za nchi.

Ww unabana sphincter muscle za Tigo usifike kileleni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kwahiyo wewe unafika kileleni. basi sawa
wanaume tunakojoa na si kufika kileleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…