Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Chelewachlwa Ukute Mwana sio wako😄
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Acha Uongo..! Kuzuia Manii hakusababishi unayosema, hata mm hufanya hivyo....!
 
Acha Uongo..! Kuzuia Manii hakusababishi unayosema, hata mm hufanya hivyo....!
zuia wakati unaenda kumaliza ulete majibu utakuja kuzima shauli yako!
 
Hilo NI shinikizo la damu, Acha kutumia vyakula vyenye mafuta mengi na jaribu kufanya mazoezi angalau mara 2 kwa wiki
Nina uhakika Una unene uliopitiliza
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Eti halina reverse😄😄..
 
Wenzetu Kenya wamevunja Baraza la Mawaziri kupinga miswaada ya ajabu ajabu na wizi wa rasirimali za nchi.

Ww unabana sphincter muscle za Tigo usifike kileleni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
kwahiyo wewe unafika kileleni. basi sawa
wanaume tunakojoa na si kufika kileleni
 
Back
Top Bottom