Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Usije kujaribu kujizuia kufika kileleni unapofanya mapenzi

Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Sema elimu nyingine mna okotaga wapi au kwa maprofesa feki wa muhimbili kuzuia kufika kileleni kuna madhara mengi zaidi ya hayo uliyo sema ....moja wapo ni kupoteza nguvu za kiume.
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
... wazungu hawazuiwi dakika za mwishomwisho, ila huzuiwa kwa kupunguza 'concentration' KABLA!
😅
 
Sema elimu nyingine mna okotaga wapi au kwa maprofesa feki wa muhimbili kuzuia kufika kileleni kuna madhara mengi zaidi ya hayo uliyo sema ....moja wapo ni kupoteza nguvu za kiume.
🙄
 
moderator kwanini mme edit uzi wangu nyinyi ndo mlikuwa wahusika mliokuwa mnafanya hiyo tafiti...??
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Mkuu unanafya akiliii tatizoo

Hakuna starehee napenda kama mwanamke aniambie zuia shahawa zisije yaaan najitoa ufahamu kama niko ofisini natukanwa na boss's banzai upyaaa

Ingawa wanasailooojia wanasema zinapunguza nguvu za kupata watoto lakn m imekuwa michezo yangu baadaya kumalizana na watoto nkaanza hiikitu yaan shemeji yakkoo anaulizaga nimekula nn namwambia kahawa na kaliimao ba mdalasini
 
Mkuu unanafya akiliii tatizoo

Hakuna starehee napenda kama mwanamke aniambie zuia shahawa zisije yaaan najitoa ufahamu kama niko ofisini natukanwa na boss's banzai upyaaa

Ingawa wanasailooojia wanasema zinapunguza nguvu za kupata watoto lakn m imekuwa michezo yangu baadaya kumalizana na watoto nkaanza hiikitu yaan shemeji yakkoo anaulizaga nimekula nn namwambia kahawa na kaliimao ba mdalasini
shauli yako ipo siku haina jina utaipa jina!
 
Mkuuu KUKOJOA MAPEMA N JANGA LA KITAIFA KWENYE NDOA NDIO MAANA JIFUBZE KUBANQ KUKOJOA KWA MAXHENCHEDE ILI UKIFIKA ZIWANI UNAOGEKEA UNAVYOTAKA NDOA IMUDU
 
Wakati nipo nazungumza na shemeji yenu, sijui akili ilitoka wapi ikanivamia! Ikaniambia, "zuia wazungu leo!"

Nilivyoona wanakaribia, nikajipanga mtoto wa watu. Spidi nikaongeza huku nikiwa makini kama mwanasayansi anayesubiri tafiti yake ikamilike ndani ya sekunde. Asalaleeee! Si wakafika kenge maji, nikazuia sekunde hiyo hiyo. Nikasikia maumivu makali mno yakitanda mwili mzima. Kizunguzungu kikanikamata, macho yakaanza kuona giza huku masikioni nikisikia mluzi wa nzwiiiii.

Nachokumbuka nilipozinduka nikiwa mnyonge sana, nimemwagiwa maji na shemeji yenu, nipo tepetepe. Aliponiuliza nini kimenipata, nikamdanganya kwamba mzimu wa ukoo ulitaka nikupe mimba, lakini nikaukatalia. Hivyo, mzimu ukaamua isiwe tabu, "acha nikuzimishe wewe nyumbu!"

Uzuri akanielewa, akanipikia uji nikanywa, nguvu zikanirudia!

Mambo mengine msije kujaribu, mtakuja kung'oka meno. Lile tendo halina reverse!
Mwana sayansi 😁😁😁😁
 
Uĺitaka aa dllt??
wauache kama nilivyokuwa nimeandika sasa wame edit haukuwa hivi na sijatukana mtu! wangefanya wao hiyo tafiti kama wanaona ni tafiti uchwara!
 
Mkuuu KUKOJOA MAPEMA N JANGA LA KITAIFA KWENYE NDOA NDIO MAANA JIFUBZE KUBANQ KUKOJOA KWA MAXHENCHEDE ILI UKIFIKA ZIWANI UNAOGEKEA UNAVYOTAKA NDOA IMUDU
mimi sina shida yakukojoa mapema ndugu
 
Back
Top Bottom